Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Je ukitokwa na manii baada ya kufungua kinywa Kuna batilisha funga Yako ?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 912
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Sababu za mwanaume kupata maumivu baada ya tendo la ndoa
Mm naomba ufafanuzi ikiwa mume alikaa sehemu nakusema maneno haya " mm mke wangu nishamuwacha" na mke wake hakumwambia hilo lkn ameisema kauli hio. Jee talaka hii itakuwa imesihi ?
Assalaam alaykum warahama tullah, shekh Mimi nataka duwa ya kutosherezwa na Allah katika jambo langu je nitaipataje nataka kui hifazi.
Asalam alaykum ,nina swal mimi ni bint naish na mwanaume bado atujafunga ndoa kulingana na uchumi ila tunamatarajio ya kufunga,sasa mmi nataka nianze kusal sala tano je apo inakuwaje jamn
Je katika rakaa mbili za mwisho katika sala ya tahhijut unasoma tu surah alifatih basi au unasoma na surah zingine
Nilisilim napenda Sana dini ya Islam lakini sijui hata pakuanzia