Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Je kutokwa na majimaji sehemu za siri ni dalili za nn
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 768
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Samah doctor nina maumivu chin yakitovu siku za nyuma nilikuwa nakojoa mkojo ambao upo cloud na nyonga inaniuma mwili unajoto kal sielew ni UTI au
Habari? Kuna dawa za kumaliza pressure ya kupanda moja kwa moja mbona mi Kila nkienda hospital napewa dawa za muda mfupi tu Kisha baadae pressure inanirudia tena
Naomba msaada wa vyakula vinavyo paswa kuliwa na mtoto wakati wa asubuhi
Swali lang mim Kila kunapo ingia usiku natokwa na vipel vidovidog mwil mzima na kukikalibia kukucha tu vipele vyote upotea kinacho bak niviungo vyang baaz kama mkon na ckunyengine mkono unaacha kuuma unafat mkuu na muda mwengine viungo haviumi vinatoka vipele tu sas cjajuah shida nin au nidalil ya nin.
Niko na ujauzito miez 3 ,nasumbuliwa na fungus sijui italeta madhara Kwa mtoto ,pia nimetumia dawa Sion mabadiliko
Na mtu kunywa juice na maji baridi akiwa na mimba changaa inafaa