Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Je mtu mwenye sukari anaruhusiwa kutumia au Kila topetope
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 171
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Habari mm ni mjamzito na nina wiki mbili nazihisi hizo dalili zote kumi ulizoolozesha ila pia nina wiki moja maji yanatoka ukeni je ni sawa na leo ndo cku yangu ya makadiliyo ya kujigungua ila nimemka Sina dalili yoyote ya uchungu napata na mawazo naomba nisaide nifanye nn
Nnamchumba wangu nampenda sana lakn Kwa bahat mbaya nmebeba mimba ya mwanaume mwingine nifanyeje
Mm na mwashoo wa macho kila siku piaa yanaonekan ni dhaif San jee! Ni dalili ya nn??
Nauliza docter katika matunda haya yote pamoja na mbegu sijaona binzari manjano pamoja na mbegu za mastaferi kaziyake na mbegu za ukwaju ahsante sana docter kwa darasa lako mwenyezimungu atawalipa
nasumbuliwa na maumivu makali sana upande wa chini kushoto wa tumbo yanayopelekea nahisi kama mmeng'enyo na kuwaka moto sana .
Vilevile Katika UKE natokwa na majimaji yenye harufu mbaya na ute wa rangi ya njano maziwa hv.
Sijajua tatizo ni Nini haswa na nawezaje kupata matibabu ya matatizo haya , nikapona kabisaa
samahan naitaj kujua majib sahii juu ya kipimo Abbott make kimetoa misital miwil