Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Je presha usababisha kuko joa mara kwa mara
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 958
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Niliona tarehe 5 mwez w kwanza ila tarehe 24 zlikua zmetoka kdgo zenye rang fulan nitofauti kabisa naperiod y kawaida ad najckia aja ndg marakwamara uchovu ucngizi marakwamara na mapgo ya moyo yanaenda kwa kasi sana sanasna nmkitoka kula cjui nn shda
Maziwa kuongezwka ukubwa bila maumivu nidalili ya mimba
Ahaaa sawaa........Ila samahani Mimi niliingia kwenye siku tar 17-1... Ila siku nlomaliza nimesahau ......nkakutana na mume Wang tar 30-1 na tar 3-2...sasa ni siku gan nlipata mimba na Ina muda gan had saiv
Habar, samahan naomba kuuliza, endapo unapata maumivu makali ya tumbo upande wa kulia kwa chini na maumivu hayo unayapata wakati wa hedhi na wakati wa siku za kubeba mimba harafu maumivu hayo yanaambatana na kuunguruma je! Inaweza kuwa nini?
Je fangas Usababisha mtu ukiwa period kwenda mda mrefu
Habar, mimi nina swali je mtu anaweza kufanyiwa operation ya tez dune na ugonjwa ukajirudia tena?