Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Jee tunaweza kuangalia wasia anoacha mgonjwa mahututi aliouacha
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 505
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Kuna watu wameona bomani mwanamke amefariki muislam mume mkristo katika utaratibu wa mirathi hapa ikoje na ameacha wazazi wawili yaani baba na mama na watoto watatu walizaa katika hiyo ndoa yao ya bomani
Asalaam Alykum Nilikuwa Naomba Kujua kama mtu umepewa talaka tatu kwa pamoja hapo hpo na akiwa na ujauzito je hiyo ni sahih au inakuwaje hapo na pia mwanamke akamuondoka kwnye hiyo ndoa yake mpka kajifungua na hakurudi tena kwa mume wangu kwa mda wa miaka miwili ikapita na baada ya miaka hyo mumewe anataka amrejee je kitu gani cha kufanyika hapo
Sheikh nina swali langu kidogo nataka kuliza Kabla ya kunirudia ile talaka ya pili akaniandikia kwenye simu ya 3 je itakua zimesha malizika zote 3 Mume wangu aliniacha talaka moja alafu aka nirejea tukakaa baada ya kipindi kdg akaja kuniacha talaka ya 2 akanirejesha kwetu
Swali lang naomba kujuwa kufanya biashara ya play station au Games je naingia kwny haramu.
Je kwan maiti ya mtoto ambaye hajabarehe wakike ukimxhonea sanda kama ya mwanamke aliye barehe ni vibaya?
Asalam alykum nataka kujua inakuwaje hukumu ya mwanamke alotoka nje ya ndoa.na mumewe kamwambia ikitoka nje ya ndoa ndo talaka yako.na akatoka nje ya ndoa.je VP hapo ndoa Bado ipo au ndo talaka tayari ishatoka km mume alivyosema?na je baada ya mwanamke huyo kule