Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Jemapigo ya moyo kwa mimba changa yanaweza kubadilika ndani ya wiki moja
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 484
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Ok shida yangu nikwamba nasikia maumivu makali tumbo la chini na mpaka kwenye mishipa ya korodani na kwenye nyonga pia kichwa kinauma
Ningependa kuuliza nimekutana namwanamke kimapenzi bilakutumia kinga baada yasiku 2nikaanza kupata maumivu ya kicwa na sasa wiki inaelekea kuisha nikiwa bado Nina hayomaumivu je inawezakuwa ishala ya maambukizi ya ukimwi?
Hv kwa mimba changa ya mwez 1 homa za uck na homa na kuishiwa nguvu na suluhisho lake lipi
Je kama baada ya kumaliza hedhi nikakutana na mwanaume ndani ya wiki moja nikaanza kujiisi vibaya kichwa kinauma kizunguzungu nidalili pia za mimba
Swali langu ni kwamba kiungulia linaweza sababisha Kansas ya Koo?
Mom nilifanya mapenzi na mdada kufanya mapenzi Mimi nilikua nimetumia Kinga lakini nilipomaliza kufanya mapenzi nikakuta kwenyemwiliwangu amenipaka damu Sasa hapo ndo hofuyangu kubwa kuwa nimepata ukimwi