Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Kipimo cha damu chenyewe kinatoa results kwa mimba ya mda gan
Kipimo cha damu kinaonyesha matokeo ya upimaji wa mimba kama ipo ndani ya siku 6 hadi 8.
Kipimo cha mkojo hushauriwa kitumiwe baada ya kupita siku zako za hedhi. Hata hivyo chenyewe ndani ya wiki tatu kinaweza kukupa majibu.
Reference: https://drhesselmd.com/pregnancy/how-early-can-i-take-a-pregnancy-test/