Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Kujaa kwa mate mdomoni kunaxababixhwa na nn
Na kujaa kwa ges 2mboni ni dalili ya nin
kuja kwa mate mdomoni kunaweza kusababishwa na mambo mengi kama vile:-
1. Ujauzito kwa wanawake huwenda nikwa sababu ya mabadiiko ya homomi
2. usafi wa kinywa
3. Bakteria waliopomdooni
4. vyakula
Hivyobasi basi kama somjamzito na hali hii inakutokea mara kwa mara, vyema umuine daktari kwa vioimo zaidi. Vinginevyo ikiwa inakutiokea tu wakati wa asubuhi huwenda huna tatiuzo lolote.