Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Kuruka kwa tarehe ya hethi inaweza sababisha kuto kushika mimba
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 740
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Samahani muudumu naomba unielekeze kuhusu hili swala nilialibikiwa mimba ya mwezi mmoja na nilitokwa na damu ndan ya wikiii sita na nimekaa wiki mbili damu zinatoka tena ivii ni tatizooo aul
Na pia baada ya damuu kukata nilitokwa na ute ute ambao ulikuwa unaniwasha
Na je siku za hatari kwa mwanamke kupata ujauzito ni hizo nane tu? Ikiwa alipata hedhi tare 1 na kuanzia tarehe 11 Hadi 18 ndizo hatari?
Mwamke kua na uke mkubwa chanzo chake nn?
samahani mimi nimeingia piriod tarehe 2 mwezi huu na nimemaliza rarehe 9 je mzunguko wangu ni wa siku ngapi?na siku zangu za hatari ni zip? asante
Kipimo cha damu chenyewe kinatoa results kwa mimba ya mda gan
Habar, mimi nina swali je mtu anaweza kufanyiwa operation ya tez dune na ugonjwa ukajirudia tena?