Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Kwanini huruhusiwi kutumia mafuta Kwenye kidonda ulichoungua na maji ya moto
Mafuta yanazuia hewa isiingie ndani na jambo hili sio salama kwa upinzani wa kidonda.
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Kinywa changu kina Matatizo mdomo kutoka alufu Na ukipiga mshwaki alafu inahamia puani sijuwiiii chanzo. Ni nini?
Nauliz ety ukifanya tendo siku ya kwanz ya siku zako kunauwezekan kuwa unawez pata mimba
Habar docta samahani eti kwa mfano mtu akiwa yupo kwenye dawa ya pep ya kuzuia maambukizi ya ukimwi ata ikitokea amejichoma tena kwenye mazingira atarishi pia inazuia kwasabu unakua ushameza dawa na zipo anaendelea kumeza.
chango husababishwa na nini....?na tena kuna dawa yake?
m nlishawahi kuwa na mtu mwenye magonjwa ya zinaa.. pamoja na p.id..fungus... kiukwel nmeangaika xn kujitibu na sas imebaki u.t.i kidogo na vifangas lkn ndugu naona kama na nguvu zangu za kiume zimekuwa zikipungua
Habari ya saa,Naomba kujua mke wngu ana mimba ya mwezi mmoja sasa ila akivua chupi yake huwa na ute ulio changanyik na damu kiasi ,hii ni dalili gan naomba msaada