Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Majimaji yanayoambatana na maumivu ya tumbo la chini
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 101
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Abar jaman kunaswali nataka kuuliza eti kama mjamzito yupo mwishoni dalili jingine inaweza ikawa anatoa damu ile ya mwanzo ya kwenye siku ile ya damu ya mzee kama nyeusi ivi naomba jib jaman
Jadili makundi matatu ya wanga , toa mifano kwa kila kundi
Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 28.nina tatizo la kutokwa na maji mengi ukeni muda ninapojamiiana hasa pale ninapokuwa nafika kileleni.yale maji Huwa yananikosesha Raha sana maana mpaka pale nilipolala panaloana .je tatizo hili husababishwa na Nini?
Je ukosefu wa vitamin E unaweza kusababisha nywele kunyofoka,kizungu zungu,pamoja na kuzubaa yaani kutokua mchangamfu
Mom nilifanya mapenzi na mdada kufanya mapenzi Mimi nilikua nimetumia Kinga lakini nilipomaliza kufanya mapenzi nikakuta kwenyemwiliwangu amenipaka damu Sasa hapo ndo hofuyangu kubwa kuwa nimepata ukimwi
Nina Miaka 25 ni mwanaume. Tatizo langu ni kupata maumivu wakati wa tendo la ndoa Hadi kupelekea kushindwa kufanya tendo lenyew hii hutokana na sehemu za Siri (korodani kuuma au kukaza) na kupelekea pia sehemu ya juu ya kupata maumivu pia na tatizo hili limenianza mwaka huu