Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Matunda gani yanayo ongeza damu kwa haraka?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 550
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Ninapenda kuuliza swali, kuhusu tiba ya macho, macho yanaona vimulimuli Kwa mbele, vikiisha hvyo vimlimli kichwan kinaanza kuuma Sana,, je nitumie Gani kutibu tatizo Hilo, au ushauri Gani Ili niweze kujikinga na tatizo kama hili
Habari mm ni mjamzito na nina wiki mbili nazihisi hizo dalili zote kumi ulizoolozesha ila pia nina wiki moja maji yanatoka ukeni je ni sawa na leo ndo cku yangu ya makadiliyo ya kujigungua ila nimemka Sina dalili yoyote ya uchungu napata na mawazo naomba nisaide nifanye nn
unaweza kushiriki tendo la ndoa kwa mjamzito akiwa na miez mingap
Mimi nina uti ambayo aiponi inajirdia rudia sasa sielew shida nn au nitumie dawa gan nina kama miez sita sasa naumwa uti naccki hari yeyote mbya wala dalili zozote mlizozitaja ila uti ninayo
Vipele vidogo vidogo chini ya uume halafu ukivikuna vinatumbuka na kuwa kidonda
Jinsia ya kiume na umri wa 24. Je mwanamke akivusha siku zake mpaka miezi miwili baada ya hedhi nikikutana nae tufanye siku ya60 baada ya kupata hedhi. Je anaweza pata ujauzito nikikutana nae?