Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Maziwa kuongezwka ukubwa bila maumivu nidalili ya mimba
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 175
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Me nataka kujua wakati wa kutoa shahada unatamka maneno gani
Swali languu mm nasumbuliwa na kukojoa mkojoo wanjano sio kawaida Ila Sina maumivuu yyote yanayonisumbuua
Da dokta usinichoke nikutaka kujuwa tu pia ninauliza kwanini tunapoenda kupima hospitali twende miezi 3 wakati kipimo uonyesha kuanzia wiki 3
Habari je mtu Mjamzito tumbo hujaa gesi mara kwa mara
Kutokwa na uchafu wenye harufu sehem za Siri na kukosa uteute kipindi Cha harari ni dalili za ugumba??
nina tatizo la kuchubuka uume wakati wa ku sex