Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Me naitaji kujua dalili. Ama viashilia vya vvu
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 327
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Yes na ikitokea kwa bahati mbaya unafanya ngono na mtu wa virus afu kondom ikapasuka kuna asilimia kubwa ya kukuambukiza??
Habar,ivi naeza kupata mimba ikiwa natumia uzazi wa mpango njia ya kitanzi cha miaka 10?
Napatwa na homa kichwa kuuma tumbo nalo kinauma doctor
Ilkuw nina xhid na ninaomb nipat jib la hili Qn ambalo ni ..kwa kutuamia ushahid 4 ya kihistoria thibitish kuw ufufuo ni jamb jepesi
nasumbuliwa na maumivu makali sana upande wa chini kushoto wa tumbo yanayopelekea nahisi kama mmeng'enyo na kuwaka moto sana .
Vilevile Katika UKE natokwa na majimaji yenye harufu mbaya na ute wa rangi ya njano maziwa hv.
Sijajua tatizo ni Nini haswa na nawezaje kupata matibabu ya matatizo haya , nikapona kabisaa
Doctor habari, samahani Mie Kuna kitu kimeniahtua sijui ninttizo au maumbile sielew, kwenye uke wangu sehemu ya kinembe sijui ndo kinena Kuna kinyama kimetoka yaan Kama kimegawanyika katikati alafu upande mmoja wa kushoto ndo Kama umetoka kinyama Sasa sielew Nini nini