Pata jibu kamili kuhusu swali lako
naomba kusaidiwa kujua siku za hatari,
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 826
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Kwa kawaida naingia hedhi siku nne ya tano nakuwa namalizia sasa ivi kalibuni nimeingia TU ijumaa juma mos juma pil DAMU ikakata naomba kujua shida ni nini?
Ety mwanmke akishapita siku zake za hatari je zinaweza kurudi tena kabla hajapata hedhi nyingine ata kama akikaa miezi miwili
Vyakula vinavyo rhusiwa kwa mtu mwenye presha
Maganda ya topetope nayo yanafaida gani na mbegu sake je naweza kusaga juice bila kutoa mbegu na makanda yake
Nilikuwa nauliza natokwa na uchafu warangi ya njano arafu mzito hili litakuwa nitatizogani
Docta me nina shida nina mimba ya miez miwili natokwa damu matone matone nikaend hsptl nikapigwa ultrasound mimba ipo nikapewa dawa ila sasà damu naona matone yanaongezeka alafu ni mekundu kuna kibonge kidogo kimetok ukeni ndo mimba imetoka au mana vipimo nimefanya jana 2 Hali imebadilik kesho yake