Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Napatwa na homa kichwa kuuma tumbo nalo kinauma doctor
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 772
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
mimi naona navidonda vya tumbo ila mbna mwili unaniwasha na kutoka vipele mwilin pamoja na mugongo kuuma naomb msada wako
Kama mayai yapo machache hayakomai uwezo wa kubeba mimba utakuwepo au
Nimetumia dawa mefloquine Leo siku ya 5 naona mwili unapata joto nakichwa kuuma.nn sababu
Mimi ni mama nnae nyonyesha mwanangu ana miezi 3, najisikia kuumwa tumbo na uchafu unatoka wa kama damu ambayo haijakolea na kiuno pia kinauma
shida yangu nikiishi na mwanamke matokwa na usaa
Habari mi nilikuwa na mimba ya miezi miwili ikawa imeharibiki nikaenda kusafishwa ,baada ya siku tano nikaaanza kushiriki tendo la ndoa hadi leo je sijawahi kushrki tendo hilo na halina madhara