Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Naulisa ukiwa unakunyua pombe unawesa ambukizwa ukimwi .
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 726
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Mpenzi wanguu alimeza dawa ya kuzuia mimba mara mbili na akatokwa na damu kidogo ikawacha na kwa sasa amepima mimba mara mbili na inaonyesha kuwa hana ujauzito ila leo kaniambia anaskia kuchefukwa na roho je inaweza kuwa ni tatizo gani ama ana ujauzitoo???
Ulimi Ume meguka meguka Kam kuliwa liwa iv nini tatizo?
Je mgonjwa akiwa anajisaidia haja kubwa inayoambatana na damu damu, inamaanisha ni sugu au vp
Asante mimi ningependa kuuliza swali kwamba nimeshiriki tendo la ndoa cku ya 12 adi siku ya 16 but mabadiliko ninayoyaona ni tumbo kujaa ges, kuchoka bila sababu, na tumbo la chini kuniuma kwa sana na leo ni siku ya 11 yani tumbo linavuta mpaka basi
Ningependa kujua iyo nayo ni dalili ya mimba changa kwangu ama
Mambo Mimi naumia chini ya kitovu sikawaida ya ngu mbona?
Ningeomba kuuliza swali pele vya ukimwi vinakuaje na je vinatoka sehemu gani