Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Nina janaba nifanye nini
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 1
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Assallam Allykum, sorry Kuna Wana ndoa waligombana na katika huo ugomvi mume akamtamkia mkewe kuanzia Leo sio mke wangu Kwa talaka Moja, alaf hata nusu saa haikufika mume akaomba radhi Kwa mkewe na kufanya tendo la ndoa Kwa madai ya kutengua talaka je, mume yupo sahihi kweli ktk hili?!
Aslm alykum naombakuuliza,Kam mine ana wake 2 ikitokea mwenyezamu hayupo keep mine anahaki ya kulala kwa Yule asiyekua zamu yake
Kuna miezi mingapi ya kunuwia hijja
Ninapo rehem Niki Soma jina la marehem nasemaje
Mke wa mtu Ana weeza kutenguwa mumewe? N'a nguo yakuazima ina twahara?
nina swali.mke wangu alikataliwa na ndugu asirudi kwangu nayeye akakubali leo sina mawasilia miezi 4 sasa je Bado kuna ndoa japo?