SWALI LETU

Pata jibu kamili kuhusu swali lako

Swali #446 22-02-2023 09:30:02
Question Icon

Ninatokewa na vijiupele kwenye kichwa cha mboo Kuna dawa nilipewa ya kupaka ila vinapotea na kurudi

JIBU

Kutokwa na vipele ni dalili ya mashambulizi ya bakteria. Tofauti na kutumia dawa za fangasi za kupaka ulitakiwa kutumia antibiotics kwa ajili ya kupambana na bakteria. 

 

Jambo la kufanya onana na daktari akufanyie uchunguzi tofauti na kwenda duka la dawa. 

Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.

MASWALI YANAYOFANANA

Angalia Maswali Zaidi