Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Ninaweza kupata dawa yakukawiya wakati yakitendo cha ndowa ?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 625
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Swali langu Mimi Nipo kwenye ofisi za mikopo nafanya kazi na izo ofisi zina liba ndani yake je mimi nae ni miongoni mwa Wala liba
Ni mwajililiwa katika ofisi za mikopo na ofisi izo zina liba ndani yake je mimi nae ni miongoni mwa Wala liba
Kuna miezi mingapi ya kunuwia hijja
Nina swali kwenye swala ya msafiri uyu mtu anasafiri uelekeo tofauti na kibla ataswali ivyoivyo
Assalamualaikum naomba kujua maan ya bidaa
nataka kujifunza jinsi ya kuswali na je? rukuu nini
Mm naomba ufafanuzi ikiwa mume alikaa sehemu nakusema maneno haya " mm mke wangu nishamuwacha" na mke wake hakumwambia hilo lkn ameisema kauli hio. Jee talaka hii itakuwa imesihi ?