Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Nini kilicho mfanya bukhadija afariki alikuw anaumwa au?
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 961
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Je Nipo na mwanmke ndani Ambae Sijafunga nae ndoa na tunalala nae kitanda kimoja je zambi ya uzinzi ni mpaka mshiriki tendo
Asalam alaykum warahmatullah wabarakatu vp Hali zenu mimi nilikuwa nahitaji kitabu sijajua kinaitwaje ila hicho kitabu kina mal islam kina nguzo za uislamu kina nguzo za lmani
Habari nijins gani yakuandk talaka
Asalam alaikum warahmatullah wabarakatuh. Mimi nna suali kuna mtu kafa alizaa mtoto mmoja mtoto wa kiume kafa kabla ya mama . Baadae mama kafa hana mtoto mwengine ila kuna wajukuu wa mtoto wake huyo mmoja wa kiume aliyekufa na pia kuna dada yake baba mmoja hao tuu ndio waliomzunguka wakaribu wengine ni watoto wa dada zake jee mirathi hapo inakuaje?
Je Kama ss wanawake tunaopata au kuigya ktk siku na anatka kufanya hija je itakuaj
Ass alaykum?naomba kuuliza?jee ibada ya hijjah ilikuwepo kabla ya mtume Muhammad (s,a,w)?