Pata jibu kamili kuhusu swali lako
sorry nitajuaje kama nyoka kaning'ata mara tu baada ya kumkanyaga
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 41
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Habari,Je mtu anaweza kufika hatua ya tatu ya ukimwi bila kuonesha au kupitia hatua ya kwanza au ya pili au zote kwa pamoja?
Kabla ya mada yenyewe vipi viupele vya ukimwi vinatokea mdomon kwa nje kidogo vikiwa na rangi nyeupe ukivikwangua vinakuwa vyekundu ila aviumi?
Samahan nilikuwa nauliza uti ikikupata huwa na vipele vdogo vidgo vitatoka aman man mi vimenitoka afu kunawasha siyo Sana lakin
Ulimi wangu umechanika cjui shida nn na nimepima HIV cna itakuwa ni nn
Kama mama mjamzito ana presha yake iko juu je atasaidiwa vipi ajifungue
Ahaaa sawaa........Ila samahani Mimi niliingia kwenye siku tar 17-1... Ila siku nlomaliza nimesahau ......nkakutana na mume Wang tar 30-1 na tar 3-2...sasa ni siku gan nlipata mimba na Ina muda gan had saiv