Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Swala tu tahjjud ktk izi swala naweza soma sura yyote au
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 947
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Asalaam aleykum. Ni matumaini yangu ya kwamba m buheri wa afya. Nilikua nataka kufahamu utaratibu wa kutoa talaka kwa mke ambae bado hujamaliza kulipa mahari yake.
je utakapokula daku ukisikia adhana ya kwanza unatakiwa uwache Kula au umalizie kula mpaka adhana ya pili
Assalaam a'laykum warahmatullahi wabarakaatuh! Shaykh mimi nauliza kuwa mke wangu ananiudhi kwa kuwasiliana na wanaume ambao sio mahrim zake na nikimgomea husema hawezi kuacha kuwasiliana nao hata nikimpa nasaha. Naomba nasaha nifanyeje maana nimefikisha kesi hadi kwa wazazi wake ila bado ananiambia kuwa Mimi nimemuowa yeye ila simu yake hainihusu.
Naitaji mwalimu video lamda Kwa uelewa zaidi juu ya sanda ya mwanamume na mwanamke
Mimi nina mchumba wangu lakini nimezaa mtoto mmoja sasa tulikuwa tunataka tufunge ndoa kabla ya ramadan lakin ikashindika sasa je inaswihi kufunga ndoa wakati wa ramadhani
Samahani sheikh wangu nilikuw naomba kujua swalat haja huwa inaswaliwa wkt gani na ina rakaa Ngap?