Pata jibu kamili kuhusu swali lako
Swala ya dhuha je unasoma Sura yeyote ama ina Sura maalum
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 858
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
As,alykum,فتنةا،نقلب علاوجهه ndugu .muislamu,naomba,nisaidie,endapo nitasimama kwenye,neno fitnatun.neno la mbele nitalianzaje?
Nilikuwa naomba kijuwa uwo utawala wa banu umayyah ulikuaj hadi kuondoka kwake
je ni ipi hukumu ya mke alietamkiwa na mume wake kuwa akifanya tendo na m/me mwengine ndio talaka yake na mke akafanya zaidi ya mara tatu?
Asalam alaikum warahmatullah wabarakatuh. Mimi nna suali kuna mtu kafa alizaa mtoto mmoja mtoto wa kiume kafa kabla ya mama . Baadae mama kafa hana mtoto mwengine ila kuna wajukuu wa mtoto wake huyo mmoja wa kiume aliyekufa na pia kuna dada yake baba mmoja hao tuu ndio waliomzunguka wakaribu wengine ni watoto wa dada zake jee mirathi hapo inakuaje?
Mimi ni mwanaume na ninamiaka 32 naomba kujua maneno ya kikao cha tahyatu
Nina swali mutu kuwa na mate machungu ndani ya miezi 6 ni dalil yq ukimwi?