Pata jibu kamili kuhusu swali lako
swali mim nahitaji kujua herf zakuruani
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 130
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
Asalam aleykhum , swala za sunnah huswaliwa baada ya swala za faradh au kabla ?
Pia niliomba kufahamu. Ni shuruti panapo paswa kufungwa doa basi baba kutoa idhi ya kuozesha au humuozesha bintie swali je?
kwabinti alie zaliwa nje ya ndoa ninani anae husika kwenye utoaji waidhini au kuozesha binti huyo?.
Assalam alaykum
Je tende faida gan mwilini.?
Assalam alaykum nauliza je ni dhambi kusoma qur-an ukiwa kichwa wazi
Swali langu ni... Tunafahamu kuwa mtu anapotaka kuoa,lazima awe na mashahidi wke wawili. Sa nauliza hawa mashahidi inaruhusika mtu kueka brother wake ama ni awe mtu mwenye hawahusiani naye...?
Swala ya dhuha je unasoma Sura yeyote ama ina Sura maalum