Pata jibu kamili kuhusu swali lako
unaweza kushiriki tendo la ndoa kwa mjamzito akiwa na miez mingap
Jibu la swali hili limehifadhiwa. Tafadhali cheki WhatsApp upate majibu ya swali hili.
Kumbuka kunitajia namba ya swali ambayo ni 32
Swali hili limeulizwa na Muulizaji kutoka WhatsApp Chat yetu. Jina la muulizaji limehifadhiwa.
nasumburuwa na misuri kila siku yaani naitaji ushauri wakoo
Naomba kujua nada ya kutoa talaka Kwa mujibu wa dini ya kiislam utaratibu wa mgawanyo wa mahalo ukoje?
Habari za asubuhi. Nmesoma kwa makini sana kazi za protini mwilini. Lakin pia nmesoma ikizidi sana mwili matatizo yake. Nauliza kama ikizidi inakuwa shida ni kiwango gani cha protini mtu atumie kwa siku na ale na wanga kias gani?
Me naitaji kujua dalili. Ama viashilia vya vvu
Asante. Mm naomba niulize swali sijapitiliza hezi lkn mwili wangu nauona upo tofauti sana nipo very hot haswa nyakati za usi na mchana nikiwa kwenye shuri zangu huwa naishiwa nguvu nakuwa kama mtu nile lala njaa pia napata mate km ya Mt mwenye homa mepesi na maziwa yanauma pia lkn nilipima na utp majibu sina mimba na siku nilizo bakiza ni siku 6 tu niingie hezi.
Swali langu kwako jee? Inwezekana kuwa nina mimba nimewahi kupima au
Samahani mimi nasumbuliwa na kichwa hasa Nikiwa na mawazo, nakosa hamu ya kula , nahisi baridi samahani zinaweza kuwa dalili za nini