Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
- Ihram huvaliwa nyumbani au katika vituo (miiqaat) vya kunuia Hija na Umrah.
- Nia ya Hija na Umrah hufanyika katika miiqaat baada ya kuswali rakaa mbili.
Rejea Qur’an (22:27-28).
- Ni maneno ya kuitikia wito wa Mwenyezi Mungu (s.w) kulingana na aina ya Hija anayokusudia Hajj.
- Maneno haya huanzia miiqaat hadi kufikia Ka’abah.
- Ni kitendo cha kuizunguka Ka’abah mara saba kuanzia kona ya jiwe jeusi (Hajaral-aswad) kwa kulibusu au kuligusa kwa kidole au kuashiria.
- Mzunguko hufanywa kwa mwelekeo wa kinyume na mwendo wa saa (Ant-clockwise direction).
- Tawafu hufanywa mtu akiwa katika twahara, Hajj akikatisha tawafu kwa udhuru wowote ule, ataanzia pale alipokatishia.
Je! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu
Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF
Share On
Facebook
or
Whatsapp
Imesomwa mara 1000
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya
👉2 Kitau cha Fiqh
👉3 Madrasa kiganjani
👉4 kitabu cha Simulizi
Swala ya Idi al-fitir na namna ya kuiendea
Soma Zaidi...
Kwanini lengo la funga halifikiwi na wafungaji wengi
Nguzo za uislamu (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...
Hadhi na Haki za Mwanamke Katika Jamii
Soma Zaidi...
Hoja juu ya hitajio la kuzibiti uzazi na uzazi wa mpango
Soma Zaidi...
Kutoa zakat
Nguzo za uislamu (EDK form 3:dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...
Uzuri wa Benki za kiislamu
Kwa nini benki za kiislamu ni bora kuliko benki nyingine? Soma Zaidi...
hizi ndio nguzo za swala, swala za faradhi na suna
Soma Zaidi...
Namna ya kuoga josho, kujitwaharisha damu ya Hedhi, damu ya kuzaa Nifasi na Janaba
Soma Zaidi...
Umuhimu wa swala
Umuhimu wa KusimamishaSwala Kwa mujibu wa Hadith ya Ibn Umar (r. Soma Zaidi...
Sanda ya mtoto
Mambo ya faradh kwa maiti ya muislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...
Je kama maiti imekatika baadhi ya viungo je viungo vyake tunafata utaratibu gani katika kumuosha na kumkafini?
Assalamu Alaykum Warahmatu-llah Wabarakaatuh Naomba kuuliza: Je kama maiti imekatika baadhi ya viungo je viungo vyake tunafata utaratibu gani katika kumuosha na kumkafini? Soma Zaidi...
Kusimamisha Swala na kuamrisha mema
Swala iliyosimamishwa vilivyo ndiyo nyenzo kuu ya kumtakasa Muislamu na kumpa sifa zinazomuwezesha kustahiki kufanya kazi takatifu ya kusimamisha Uislamu katika jamii. Soma Zaidi...