picha

Matibabu ya vidonda vya tumbo nyumbani

Post hii inahusu zaidi matibabu ya vidonda vya tumbo nyumbani, ni njia ya kawaida ya kujitibu vidonda vya tumbo kama tulivyoona.

Matibabu ya vidonda vya tumbo nyumbani.

1. Unatumia vitu vya kawaida ambavyo upatikana kwenye mazingira yetu.

 

 

2. Unatumia mdalasini gramu mia moja.

 

3. Unatumia majani ya mlonge gramu mia moja.

 

 

4. Unachukua magari gramu mia moja.

 

 

 

5. Unachukua kitunguu swaumu gramu mia moja

 

 

6. Unachanganya kwa pamoja.

 

 

7. Kipindi kifuatacho nitafundisha matumizi

 

 

 

 

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 2447

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
๐Ÿ‘‰1 Bongolite - Game zone - Play free game     ๐Ÿ‘‰2 kitabu cha Simulizi     ๐Ÿ‘‰3 Dua za Mitume na Manabii     ๐Ÿ‘‰4 Simulizi za Hadithi Audio     ๐Ÿ‘‰5 web hosting     ๐Ÿ‘‰6 Madrasa kiganjani    

Post zinazofanana:

Fahamu Ugonjwa wa Saratani ya seli nyeupe.

Posti hii inazungumzia kuhusiana naร‚ย Sarataniร‚ย ambayo hutokea katika aina ya seli nyeupe ya damu inayoitwa seli ya plasma. Seli za plasma hukusaidia kupambana na maambukizo kwa kutengeneza kingamwili zinazotambua na kushambulia vijidudu. Pia husababish

Soma Zaidi...
Kazi ya mwanasaikolojia na daktari wa magonjwa ya akili.

Unapokutana na changamoto za afya ya akili, ni rahisi kuchanganyikiwa kuhusu ni nani unayepaswa kumuona kati ya mwanasaikolojia na daktari wa magonjwa ya akili. Ingawa wote wanasaidia kuboresha afya ya akili, taaluma zao, mifumo yao ya mafunzo, na mbinu zao za matibabu ni tofauti kabisa. Makala haya yanachambua majukumu ya kila mmoja ili ujue wapi pa kupata msaada sahihi.

Soma Zaidi...
Dalili za ugonjwa wa schizophrenia

Schizophrenia ni ugonjwa wa akili ambao huathiri jinsi mtu anavyofikiri, kuhisi, na kuamua. Dalili za schizophrenia zinaweza kuwa kama ifuatavyo hapo chini

Soma Zaidi...
Mambo yanayosababisha kuharisha

Post hii inahusu zaidi ugonjwa wa kuharisha, kuharisha ni kitendo Cha kupitisha kinyesi Cha maji chenye damu au kisichokuwa na damu

Soma Zaidi...
Makundi ya watu walio katika hatari ya kupata Ugonjwa wa Ukimwi

Posti hii inahusu zaidi watu walio katika hatari ya kupata Maambukizi ya ugonjwa wa ukimwi,ni kutokana na kazi zao pamoja na mazingira yao kwa hiyo wako kwenye hatari ya kupata Ugonjwa wa ukimwi.

Soma Zaidi...
Dawa za kutibu kiungulia

Somo hili linakwenda kukueleza baadhi ya dawa za kutibu kiungulia

Soma Zaidi...