Posti hii inahusu zaidi matumizi ya dawa za vidonda vya tumbo, ili kuweza kutumia dawa hizi ni vizuri kabisa kufuata mashariti kama ifuatavyo.
1. Kama tulivyotangulia kusema kwamba unachukua mdalasini, majani ya mlonge,mjafari na kitunguu swaumu kila kitu gram mia moja.
2. Kwanza unachukua unachanganya unatwanga na kuchanganya kwa pamoja.
3. Chukua mchanganyiko huo nusu kijiko weka ndani ya nusu lita huo mchanganyiko.
4.Gawanya hizo nusu mara mbili kila sehemu chukua Robo kwa roho kwa kila sehemu iliyogawanywa mara mbili.
5 chukua hizo robo kunywa kutwa mara mbili mpaka dawa hizo ziishe na hakikisha hukatishi dawa yoyote.
6. Kula dawa hizo bila kuacha kwa sababu ukiacha itasababisha tatizo liendelee kuwepo.
7. Kwa kawaida ukiwa unaendelea na hiyo tiba zingatia tabia ya kula kwa wakati ili kuweza kuzuia hali ya kuendelea kuwepo kwa madonda ya tumbo.
8. Pamoja na kuwepo kwa tatizo epuka matumizi ya vyakula kama vile maharage, viporo, vinywaji vyenye gesi, matumizi ya chumvi nyingi, vyakula vya mafuta mengi na vya kukaanga.
9. Vile vile jaribu kutumia vyakula ambavyo haviongezi acids mwilini kama vile maziwa na unywaji mzuri wa maji pia epuka sana vyakula vya kuongeza asidi mwilini kama vile machungwa na limao.
10. Kwa hiyo ni vizuri kufuata mashariti yote ya mtu mwenye vidonda ili kuepuka kuwepo kwa madhara zaidi.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Post hii inahusu dawa ya haloperidol katika matibabu ya magonjwa ya akili, ni mojawapo ya dawa ambayo utumiwa na wagonjwa ambao wamechananyikiwa.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kutumia dawa za ARV kwa wathirika wa virusi vya ukimwi .pia tutangalia kwa undani mambo ya kuzingatia kwa wathirika wanaotumia ARV .pamoja na kujali watu wanaotumia dawa hizo .
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya Nystatin ni mojawapo ya dawa ambayo utumika kwenye ngozi.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya isoniazid katika mapambano na kifua kikuu, tunafahamu kabisa kwamba kifua kikuu ni hatari katika jamii kwa hiyo dawa ya isoniazid ni mkombozi katika mapambano na kifua kikuu.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya Sp , kirefu cha dawa hii ni sulphadoxine na pyrimethamine hii dawa ilitumika kutibu malaria kwa kipindi fulani lakini sasa hivi imebaki kutumiwa na wajawazito kama kinga ya kuwazuia kupata malaria.
Soma Zaidi...Post hii inahusu dawa ya aspirin katika kupunguza maumivu,ni dawa ambayo upunguz maumivu ya Kawaida, kushusha homa na pia usaidia kwenye magonjwa ya moyo hasa kuzuia stroke kama imetokea mda ndani ya masaa ishilini na manne
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi faida za dawa za NMN maana yake ni Nicotinamide mononucleotide ni dawa ambazo usaidia kutibu magonjwa mbalimbali kama vile.
Soma Zaidi...Usisumbuliwe tene na fangasi ukeni, zijuwe hapa dalili za fangasi ukeni, tiba yake na njia za kukabiliana na fangasi ukeni
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya theophylline ni dawa inayofanya kazi kwenye mfumo wa upumuaji.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya paracetamol katika kutibu maumivu, ni dawa inayosaidia kutibu maumivu ya Kawaida kama vile aspirin.
Soma Zaidi...