Posti hii inahusu zaidi matumizi ya dawa za vidonda vya tumbo, ili kuweza kutumia dawa hizi ni vizuri kabisa kufuata mashariti kama ifuatavyo.
1. Kama tulivyotangulia kusema kwamba unachukua mdalasini, majani ya mlonge,mjafari na kitunguu swaumu kila kitu gram mia moja.
2. Kwanza unachukua unachanganya unatwanga na kuchanganya kwa pamoja.
3. Chukua mchanganyiko huo nusu kijiko weka ndani ya nusu lita huo mchanganyiko.
4.Gawanya hizo nusu mara mbili kila sehemu chukua Robo kwa roho kwa kila sehemu iliyogawanywa mara mbili.
5 chukua hizo robo kunywa kutwa mara mbili mpaka dawa hizo ziishe na hakikisha hukatishi dawa yoyote.
6. Kula dawa hizo bila kuacha kwa sababu ukiacha itasababisha tatizo liendelee kuwepo.
7. Kwa kawaida ukiwa unaendelea na hiyo tiba zingatia tabia ya kula kwa wakati ili kuweza kuzuia hali ya kuendelea kuwepo kwa madonda ya tumbo.
8. Pamoja na kuwepo kwa tatizo epuka matumizi ya vyakula kama vile maharage, viporo, vinywaji vyenye gesi, matumizi ya chumvi nyingi, vyakula vya mafuta mengi na vya kukaanga.
9. Vile vile jaribu kutumia vyakula ambavyo haviongezi acids mwilini kama vile maziwa na unywaji mzuri wa maji pia epuka sana vyakula vya kuongeza asidi mwilini kama vile machungwa na limao.
10. Kwa hiyo ni vizuri kufuata mashariti yote ya mtu mwenye vidonda ili kuepuka kuwepo kwa madhara zaidi.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
PoPosti hii inahusu zaidi vyakula ambavyo unaweza kutumia iwapo umepata tatizo la kiungulia
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya kutibu au kutuliza maumivu, kwa majina huiitwa indomethacin ni dawa inayotumika kutuliza maumivu ya Kawaida.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi faida za vidonge vya antroextra, ni vidonge kwa ajili ya mifupa, viungo na gegedu, hivi vidonge vimetumiwa na watu wengi na matokeo yake ni mazuri sana, kwa hiyo zifuatazo ni faida za vidonge hivi.
Soma Zaidi...Utajifunza dalili za fangasi mdomoni na ulimini, sababu za fangasi wa mdomoni na ulimini, matibabu yeke na njia za kukabiliana nao
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi matibabu kwa mgonjwa wa uti wa mgongo, kwa kawaida tunajua kuwa homa hii ya uti wa mgongo usababisha na wadudu mbalimbali kama vile bakteria, virus, fungasi, sumu mbalimbali kama vile madini ya lead na arseni, na vitu kama vile Mag
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya captopril katika matibabu ya magonjwa ya moyo, ni dawa ambayo imo kwenye kundi la vasodilators na ufanya Kazi mbalimbali zinazousu magonjwa ya moyo.
Soma Zaidi...