Posti hii inahusu zaidi maumivu wakati wa hedhi, haya ni maumivu ambayo utokea wakati wa hedhi kwa wanawake walio wengi, wengine huwa hawayapati kabisa na wengine hutapata na kwa kiwango kikubwa kutegemea na matatizo mbalimbali kama tutakavyoona.
Maumivu wakati wa hedhi
1.Haya ni maumivu ambayo uwapata wanawake walio wengi na wasichana kwa kawaida huwa katika makundi mawili, kuna maumivu ambayo utokea wakati wa hedhi na maumivu haya huwa hayaambatani na magonjwa yoyote ila kuna aina ya pili ambapo maumivu utokea ni kwa sababu ya kuwepo kwa magonjwa kwenye via vya uzazi.
2.kuna sababu za kuwepo kwa maumivu wakati wa hedhi ni pamoja na matatizo kwenye mfuko wa kizazi kwa sababu kama kuna Maambukizi kwenye mfumo wa kizazi lazima Maumivu yatakuwepo au pengine panakuwepo na uvimbe kwenye mfuko wa kizazi ambao usababisha maumivu wakati wa hedhi.
3.Pengine maumivu kwenye mfuko wa uzazi Usababishwa na msongo wa mawazo kwa sababu unakuta kuna wanawake wengine wanaishi mazingira magumu na kusababisha maumivu makali wakati wa hedhi kwa hiyo tunapaswa kupunguza msongo wa mawazo ili kuepuka mawazo mbalimbali Ambayo yanaweza kusababisha maumivu wakati wa hedhi.
4.Maambukizi kwenye mlango wa kizazi.
Kwenye mlango wa kizazi panaweza kuwepo kwa Maambukizi kama kuna Maambukizi kuna Maambukizi ndiyo usababisha maumivu wakati wa hedhi mara nyingine panaweza kuwepo viashiria vya kansa ya mlango wa kizazi au pengine Maambukizi kutokana na ngono zembe kwa hiyo kama kuna mambo kama hayo Maumivu wakati wa hedhi ni kawaida.
5.Kwa hiyo tunapaswa kujua kubwa kwa wale wenye maumivu makali wakati wa hedhi wanapaswa kwenda hospitalini kupima ili kuangalia shida ni nini ambayo inafanya kuwepo kwa maumivu hayo kwa hiyo tunapaswa kuepuka na msongo wa mawazo ili tuweze kuepuka matatizo ya kuwa na maumivu wakati wa hedhi.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi msaada au namna ya kuwahudumia wale wasioona hedhi na wamefikiwa kwenye umri wa kuweza kuona hedhi.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi njia za kutibu kuharisha kwa watoto wakiwa nyumbani, kwa sababu mara nyingine mtoto anaweza kuharisha si kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi ila ni uchafu tu kwa hiyo njia muhimu zinazofaa kutibu mtoto ni pamoja na yafuatayo.
Soma Zaidi...Tunaposema uzazi wa mpango, tunamaanisha ile hali ya kuachanisha muda kutoka mtoto hadi mwingine. Inatakiwa angalau mtoto na mtoto wapishane miaka miwili. Uzazi wa mpango ni maamuzi kati ya mama na baba.
Soma Zaidi...Kama unapata maumivu wakati wa tendo la ndoa, suluhisho lako lipo kwenye makala hii
Soma Zaidi...Mwanaume na mwanamke wanapo kutana na kujamiina kama mwanamke yupo kwenye ferlile process ni rahisi kupata mbimba. Sparm Zaid ya million moja huingia kwenye mfuko wa lakin sparm moja ndio huweza kuingia kwenye ovum(yai)lakin nyingine hubaki kwenye follopi
Soma Zaidi...inaweza kutokea kuwa mtoto aliye tumboni akaishiwa maji hata kabla ya kuzaliwa. yes hali hii huweza kuwapata baadhiya watoto.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi huduma muhimu anazopaswa kupewa mama mjamzito wakati akiwa na mimba, wakati wa kujifungua na baada ya kujifungua yaani ndani ya masaa ishirini na manne, tunajua wazi kuwa Mama akiwa mjamzito anaweza kupata matatizo mbalimbali kwa h
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili ambazo mwanamke hapaswi kufumbia macho.
Soma Zaidi...