Maumivu wakati wa hedhi.
Posti hii inahusu zaidi maumivu wakati wa hedhi, haya ni maumivu ambayo utokea wakati wa hedhi kwa wanawake walio wengi, wengine huwa hawayapati kabisa na wengine hutapata na kwa kiwango kikubwa kutegemea na matatizo mbalimbali kama tutakavyoona.
Maumivu wakati wa hedhi
1.Haya ni maumivu ambayo uwapata wanawake walio wengi na wasichana kwa kawaida huwa katika makundi mawili, kuna maumivu ambayo utokea wakati wa hedhi na maumivu haya huwa hayaambatani na magonjwa yoyote ila kuna aina ya pili ambapo maumivu utokea ni kwa sababu ya kuwepo kwa magonjwa kwenye via vya uzazi.
2.kuna sababu za kuwepo kwa maumivu wakati wa hedhi ni pamoja na matatizo kwenye mfuko wa kizazi kwa sababu kama kuna Maambukizi kwenye mfumo wa kizazi lazima Maumivu yatakuwepo au pengine panakuwepo na uvimbe kwenye mfuko wa kizazi ambao usababisha maumivu wakati wa hedhi.
3.Pengine maumivu kwenye mfuko wa uzazi Usababishwa na msongo wa mawazo kwa sababu unakuta kuna wanawake wengine wanaishi mazingira magumu na kusababisha maumivu makali wakati wa hedhi kwa hiyo tunapaswa kupunguza msongo wa mawazo ili kuepuka mawazo mbalimbali Ambayo yanaweza kusababisha maumivu wakati wa hedhi.
4.Maambukizi kwenye mlango wa kizazi.
Kwenye mlango wa kizazi panaweza kuwepo kwa Maambukizi kama kuna Maambukizi kuna Maambukizi ndiyo usababisha maumivu wakati wa hedhi mara nyingine panaweza kuwepo viashiria vya kansa ya mlango wa kizazi au pengine Maambukizi kutokana na ngono zembe kwa hiyo kama kuna mambo kama hayo Maumivu wakati wa hedhi ni kawaida.
5.Kwa hiyo tunapaswa kujua kubwa kwa wale wenye maumivu makali wakati wa hedhi wanapaswa kwenda hospitalini kupima ili kuangalia shida ni nini ambayo inafanya kuwepo kwa maumivu hayo kwa hiyo tunapaswa kuepuka na msongo wa mawazo ili tuweze kuepuka matatizo ya kuwa na maumivu wakati wa hedhi.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Kitabu cha Afya 👉2 Madrasa kiganjani 👉3 Dua za Mitume na Manabii 👉4 Simulizi za Hadithi Audio 👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
Post zinazofanana:
Jinsi ya kupata mtoto wa kiume
Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu nadharia ya kupata mtoto wa kiume.
Soma Zaidi...Njia za uzazi wa mpango
Posti hii inahusu zaidi kuhusu njia za uzazi wa mpango, uzazi wa mpango ni njia za kupanga uzazi Ili kupata idadi ya watoto unaohitaji
Soma Zaidi...Utaratibu wa chakula kwa Mama mjamzito.
Post huu inahusu zaidi utaratibu wa chakula kwa Mama mjamzito, ni chakula anachopaswa kutumia na ambavyo hapaswi kutumia kwa Mama mjamzito mzito, kwa sababu Mama mjamzito anapaswa kuwa makini katika matumizi ya chakula ili kuweza kuongeza vitu muhimu mwil
Soma Zaidi...Damu, majimaji na uteute unaotoka kwenye uke wa Mjamzito, sababu zake na dalili zake
Unataka kujuwa sababu za mjamzito kutokwa na damu, utelezi ama majimaji kwenye uke wake. Na dalili gani zinaashiriwa na majimaji haya
Soma Zaidi...Umuhimu wa kunyonyesha kwa Mama
Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kunyonyesha kwa akina Mama, kunyonyesha ni kitendo ambacho Mama utumia maziwa yake na kumlisha mtoto pindi tu anapozaliwa mpaka wakati anapoachishwa titi, kunyonyesha huwa na faida kubwa kwa wote yaani Mama na mtoto, zif
Soma Zaidi...Je mwanamke anaweza kujijuwa ni mjamzito baada ya muda gani.
Mdau anauliza ni muda gani mwanamke anaweza kujijuwa kuwa amepata ujauzito.
Soma Zaidi...