MBINU ZA KUPONYESHA MAJERAHA


image


Posti hii inahusu zaidi mbinu ambazo hutumika kuponyesha majeraha kwa haraka zaidi,tunajua majereha utokana na kupona kwa vile vidonda au kupona kwa sehemu ambayo imekuwa na majeraha kwa hiyo ili kuponyesha majeraha hayo tunapaswa kufanya yafuatayo.


Mbinu za kuponyesha majeraha.

1.Kwanza kabisa tunapaswa kutumia mlo kamili.

Mlo kamili ambao una kila aina ya virutubisho vya kutosha mwilini kwa kufanya hivyo majereha hatapona haraka kuliko kutumia vyakula visivyofaa au visivyokuwa na mpangilio maalumu. Kwa hiyo tujue kwa uhakika kuwa chakula ni dawa.

 

2. Kupumzika kwa mda wa kutosha.

Tunajua wazi kuwa mtu anapopumzika anafanya mwili kuweza kujitengeneza kwa mda, kwa hiyo mtu aliyepata tatizo la namna hii anapaswa kupumzika kwa muda wa kutosha ili kuupatia mwili mda wa kuweza kujitengeneza kwa mda.

 

3. Vile vile mgonjwa anapaswa kufuata mashariti ya wataalamu wa afya. Kwa kufanya hivyo mgonjwa ataweza kupona kwa urahisi, kwa hiyo ni vizuri kabisa kuhakikisha kuwa mashariti yanafuatwa kwa ukaribu zaidi na kwa mda wa kutosha.

 

4. Pia mgonjwa anapaswa kunywa maji ya kutosha kwa kufanya hivyo ataweza kuruhusu uchafu wowote kutoka kwenye mwili na kuruhusu mwili kujitengeneza kwa upya kwa sababu maji ufanya mwili uwe na mwororo na wa kuvutia sana.

 

5. Kuoga kwa maji ya baridi.

Tunaelewa wazi faida za maji ya baridi kwa hiyo tunapaswa kuyatumia ili kuweza kufanya ngozi ya mwili kurudia kwenye hali yake ya kawaida.kws kufanya hivyo tutaweza kuponyesha ngozi na majereha hatapona haraka.

 

6. Kwa hiyo tunaona wazi kwamba kuna wakati mwingine majereha Upata mtu kwenye sehemu mbaya yaani ya usoni hali ambayo ufanya watu kujihisi vibaya kwa kufanya hayo ambayo tumeyaona tutaweza kuponyesha majeraha mapema na maisha yataendelea kama kawaida.



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Madrasa kiganjani       ðŸ‘‰    2 Jifunze fiqh       ðŸ‘‰    3 Mafunzo ya html kwa kiswahili       ðŸ‘‰    4 Maktaba ya vitabu       ðŸ‘‰    5 Mafunzo ya php       ðŸ‘‰    6 Hadiythi za alif lela u lela    


Je! una maswali, mapendekezo ama maoni? tuma ujumbe wa meseji SMS hapo chini ili kuunganishwa na muhusika au bofya hapa

SMS SMS



Post Nyingine


image Aina mbalimbali za maumivu ya mwili.
Posti hii inahusu zaidi aina mbalimbali ya maumivu ya mwili, Maumivu ya mwili utokea kwa aina mbalimbali kama ifuatavyo. Soma Zaidi...

image Habari nasumbuliwa na tumbo upande wakilia adi nikikojoa mkojo wa mwisho uwa wa kahawia tiba take nini?
Maumivu ya tumbo yanaweza kusababishwa na mambo mengi ikiwemo typhod, vidonda vya tumbo na shida nyingine kwenye mfumo wa chakula. Soma Zaidi...

image Mambo ya kuzingatia kabla ya upasuaji,
Upasuaji ni kundi la ki medical linalohusu kutoa kiungo kisichohitajika kwenye mwili. Soma Zaidi...

image Dalili za gonorrhea
Somo hili linakwenda kukuletea baadhi ya dalili za gonorrhea Soma Zaidi...

image Yajue mashambulizi ya bacteria kwenye Ngozi (cellulitis)
Mashambulizi ya bacteria kwenye Ngozi hujitokeza sehemu yenye jeraha pia huonyesha wekundu wenye upele,Uvimbe na malengelenge. Soma Zaidi...

image Ratiba ya chanjo ya kuzuia kuharisha
Posti hii inahusu zaidi ratiba ya chanjo ya kuzuia kuharisha hii ni chanjo wanayopewa watoto wadogo chini ya miaka mitano kwa lengo la kuzuia kuharisha chanjo hiyo kwa kitaalamu huitwa Rotarix. Soma Zaidi...

image Vidonda vya tumbo
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu ugonjwa wa vidonda vya tumbo Soma Zaidi...

image Dalili za Saratani ya utumbo mdogo.
Posti hii inaonyesha ishara na dalili za Saratani ya utumbo mdogo Soma Zaidi...

image Sababu za kupata hedhi zaidi ya mara moja kwa mwezi mmoja
Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwepo kwa hedhi zaidi ya mara moja kwa mwezi mmoja, mara nyingi kuna Watu ambao huwa wanalalamika kwa sababu ya kupata hedhi za mara kwa mara kwa mwezi mmoja. Soma Zaidi...

image Ushauri kabla ya kubeba mimba.
Posti hii inahusu zaidi ushauri kwa akina Mama na wachumba kabla ya kubeba mimba, kabisa ya kubeba mimba akina Mama na wachumba wanapaswa kufanya yafuatayo. Soma Zaidi...