Point hii inahusu zaidi mbinu za kupunguza Kichefuchefu hasa kwa wagonjwa na watumiaji wa madawa mbalimbali yanayoweza kusababisha kichefuchefu.
Mbinu za kupunguza Kichefuchefu.
1. Kutumia vyakula vigumu vigumu.
Kama mtu anayetumia dawa zinazosababisha kichefuchefu au mgonjwa wanapaswa kutumia vyakula vigumu kama vile mkate chapati na vyakula kama mihogo iliyopikwa, viazi na vyakula vigumu kwa ujumla na pia mwenye Kichefuchefu anapaswa kuachana na vyakula ambavyo havipendi akiwa mzima kwa sababu vinaweza kusababisha kichefuchefu.
2. Kunywa na kula kidogo kidogo.
Mwenye kichefuchefu anapaswa kula na kunywa kidogo kidogo kwa sababu akila na kunywa kidogo kidogo na kwa mda mwingi hawezi kutapika kuliko yule anayekula chakula kingi Yuko kwenye hatari ya kutapika. Kwa hiyo mgonjwa anapaswa kula kidogo kidogo mara nyingi na kunywa kidogo kidogo kwa mara nyingi.
3. Mwenye kichefuchefu anapaswa kukaa wima baada ya kula.
Baada ya kula chakula mwenye kichefuchefu anapaswa kukaa wima maana akikaa wima hawezi kuruhusu chakula kupita lakini akiinama anaweka chakula katika mfumo wa kukiruhusu chakula na kuweza kupita kwa hiyo wauguzi na wote wanaoudumia wagonjwa wanapaswa kuwasaidia wale ambao hawajiwezi Ili kuwafanya wasiiname pindi wanapomaliza kula Ili kuepuka kichefuchefu.
4. Tumia Tiba asili ya kubonyeza sehemu mbalimbali za mwili.
Kuna wakati mwingine watu ubonyeza kwenye sehemu za mkono Ili kuzuia kichefuchefu kwa kufanya hivyo wanaweza kuzuia kichefuchefu na walio wengi wameitumia njia hiyo na wamefaulu kwa hiyo Kuna Tiba za asili ambazo watu wanazitumia na kufanikisha kupunguza Kichefuchefu.
5. Kwa hiyo tunapaswa kujua kuwa kichefuchefu ni dalili kubwa ya kutaka kutapika kwa hiyo tunapaswa kuwasaidia wagonjwa wetu kutibu kichefuchefu na kuzuia kutapika Ili kufanya matibabu yaende vizuri kwa hiyo tusiwanyanyapae wale wenye tatizo hilo kwa maana ni la kawaida na uwapata watu wengi hasa wenye matumizi ya madawa na wagonjwa.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi kazi ya homoni ya testosterone, hii homoni kwa kiwango kikubwa ukutwa kwa wanaume ndiyo homoni ambayo umfanya mwanaume aonekane jinsi alivyokuwa na sifa zake zote.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi ukweli kuhusu njia za uzazi wa mpango, sio kwa imani potofu ambazo Watu utumia kuelezea uzazi wa mpango.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi aina mbalimbali za mimba kutoka, hizi ni jinsi mimba inavyoonyesha dalili za kutoka na nyingine zinaweza kuonyesha dalili Ila kwa sababu ya huduma mbalimbali za kwanza hizo mimba zinaweza kudhibiiwa na mtoto akazaliwa.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mambo ambayo Mama mjamzito anaweza kuulizwa pindi anapokuja kwenye kliniki ya uzazi ,ni mambo muhimu na ya lazima yanayopaswa kuongea na Mama mjamzito ili kuweza kuona maendeleo yake kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za mwanzo za ujauzito katika wiki ya kwanza
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi Magonjwa yanayoshambulia sana ovari na Dalili zake, haya ni magonjwa ambayo yanashambulia sana ovari ni kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Maumivu ya tumbo kwa mjamzito huweza kuanaa kuonekana mwanzoni kabisa mwaujauzito, ndani ya mwezi mmoja. Ikabidi si dalili pekee ya kuwa ni mjamzito.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi Dalili ambazo zinaweza kujitokeza na zikaonesha kwamba mbegu za kiume ni dhaifu au ni chache.
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na Kupasuka kwa kondo la nyuma (plasenta) (abruptio placentae) ni tatizo lisilo la kawaida lakini kubwa la ujauzito.Kondo la nyuma (Placenta) ni muundo ambao hukua ndani ya uterasi wakati wa ujauzito ili kumlisha mtoto ana
Soma Zaidi...Hivi unadhani kuharisha ni katika dalili za mimba, vipi kuhusu kutopata choo pia inaweza kuwa ni ujauzito?
Soma Zaidi...