Mbinu za kupunguza magonjwa yanayohusiana na figo
Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa figo. Ni ugonjwa unaotokana pale figo linaposhindwa kufanya kazi, tuone mbinu za kufanya Ili kuepuka na tatizo hilo.
1. Mbinu za kupunguza ugonjwa wa figo ni pamoja na kunywa maji Ili kuweza kutoa sumu ambayo imo ndani, tunapaswa kunywa walau grass Moja kwa siku
2. Kufanya mazoezi kila siku na mara kwa mara Ili kuweza kuyeyusha mafuta yaliyomo mwilini na kutoa uchafu kwa njia ya jasho.
3. Kujaribu kupunguza chumvi kwenye chakula, tukumbuke kwenye chumvi kuba madini ya sodium na chlorine, ambazo haziitajiwi na mgonjwa wa figo
4.Kikohoa kwa mda na wakati unaposikia mkojo , hii ni muhimu sana kwa sababu upunguza uchafu kwenye kibofu Cha mkojo.
5. Tujue kuwa ugonjwa wa figo ni hatari kwa hiyo tunapaswa kufuata maelekeza yote kama inawezekana maana figo zikishindwa kazi ni shida, matibabu yapo unapohisi kuwa unaumwa ugonjwa wa figo
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉2 ai web app 👉3 Simulizi za Hadithi Audio 👉4 Dua za Mitume na Manabii 👉5 kitabu cha Simulizi 👉6 Madrasa kiganjani
Post zinazofanana:
HUDUMA YA KWANZA KWA MTU ALIYEZIMIA (CARDIOPULMONARYRESUSCITATION) AU CPR
Kuzimia ni hali ya kupoteza fahamu ambako kunaendana na kutokuhema.
Soma Zaidi...Mgawanyo wa matibabu ya kifua kikuu.
Posti hii inahusu zaidi mgawanyo wa matibabu ya kifua kikuu, tunajua kubwa kifua kikuu ni Ugonjwa ambao utumia mda mrefu kidogo katika matibabu kwa hiyo mgawanyiko wake uko kwenye sehemu mbili muhimu kama tutajavyoona
Soma Zaidi...Aina za kuungua
Post hii inahusu Aina za kuungua, kuungua ni Hali ya kubabuka kwa ngozi ya mwili na kusababisha madhara mbalimbali
Soma Zaidi...Upungufu wa vyakula na madhara yake
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu madhara ya upungufu wa vyakula
Soma Zaidi...Huduma ya Kwanza kwa mtu aliyepatwa na joto kubwa mwilini
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyepatwa na joto kubwa mwilini
Soma Zaidi...Mbinu za kuondoa sumu mwilini.
Posti hii inahusu zaidi mbinu za kuondoa sumu mwilini, ni njia mbalimbali ambazo uweza kutumika ili kuondoa sumu mwilini.
Soma Zaidi...