Mbinu za kupunguza magonjwa yanayohusiana na figo
Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa figo. Ni ugonjwa unaotokana pale figo linaposhindwa kufanya kazi, tuone mbinu za kufanya Ili kuepuka na tatizo hilo.
1. Mbinu za kupunguza ugonjwa wa figo ni pamoja na kunywa maji Ili kuweza kutoa sumu ambayo imo ndani, tunapaswa kunywa walau grass Moja kwa siku
2. Kufanya mazoezi kila siku na mara kwa mara Ili kuweza kuyeyusha mafuta yaliyomo mwilini na kutoa uchafu kwa njia ya jasho.
3. Kujaribu kupunguza chumvi kwenye chakula, tukumbuke kwenye chumvi kuba madini ya sodium na chlorine, ambazo haziitajiwi na mgonjwa wa figo
4.Kikohoa kwa mda na wakati unaposikia mkojo , hii ni muhimu sana kwa sababu upunguza uchafu kwenye kibofu Cha mkojo.
5. Tujue kuwa ugonjwa wa figo ni hatari kwa hiyo tunapaswa kufuata maelekeza yote kama inawezekana maana figo zikishindwa kazi ni shida, matibabu yapo unapohisi kuwa unaumwa ugonjwa wa figo
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Madrasa kiganjani 👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉4 Bongolite - Game zone - Play free game 👉5 Dua za Mitume na Manabii 👉6 Kitau cha Fiqh
Post zinazofanana:
Huduma ya Kwanza kwa mtu aliyepaliwa
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu aliyepaliwa
Soma Zaidi...HUDUMA YA KWANZA KWA MTU ANAYETOKWA NA DAMU YA PUA
Kama mtu anatokwa na damu za pua, basi juwa kuwa anahitaji huduma ya kwanza.
Soma Zaidi...Namna ya kutoa huduma ya kwanza
Huduma ya kwanza ni huduma anayopewa mgonjwa au mtu yeyote aliyepata ajali kabla ya kumpeleka hospitalini
Soma Zaidi...Vyakula vya fati na mafuta
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya fati na mafuta
Soma Zaidi...Upungufu wa damu mwilini
Post inaenda kuzungumzia kuhusiana na upungufu wa damu mwilini ambapo tutaona SABABU na dalili zake lakin upungufu wa damu mwilini hujulikana Kama ANEMIA.
Soma Zaidi...huduma ya kwanza kwa mtu aliyeingiwa na uchafu sikioni
Post hii inahusu huduma ya kwanza kwa mtu aliyeingiwa na uchafu au kitu chochote sikioni. Sikio ni mojawapo ya milango ya fahamu ambapo hutumika kusikia, Kuna wakati vitu uingia ndani yake na kuleta madhara
Soma Zaidi...