Posti hii inaelezea kuhusiana na dalili na mbinu za kutoa huduma ya kwanza kwa mgonjwa alieye ingiwa na uchafu puani (foreign body)
Ishara na Dalili ya kitu kuingia kwenye pua (foreign body).
1. Kutoa makamasi au usaha.
2.kutokwa na Damu.
3.Pua kuwasha.
4.Maumivu
5. Ugumu wa kupumua kupitia pua iliyoathiriwa.
6.kutoa harufu mbaya Kama uchafu ukikaa kwa muda mrefu
Sababu zainazopelekea kuingia kwenye pua Ni
Vitu vilivyowekwa kwenye pua vinaweza kujumuisha
1. Chakula.
2.Mbegu
3. Maharage yaliyokaushwa
4. Kifutio
5. Pamba
6. Shanga
7. Vifungo vya kwenye nguo.
Mbinu za kutoa huduma ya kwanza kwa mgonjwa aliyeingiliwa na uchafu au kitu kwenye pua
1. Usichunguze kitu hicho kwa kutumia pamba au zana nyingine kwasababu unaweza ukakisukumia Ndani zaidi.
2. Usijaribu kuingiza kitu hicho kwa kuvuta pumzi kwa nguvu.
3. Badala yake, pumua kupitia kinywa chako hadi kitu kiondolewe.
4. Piga pua yako taratibu ili kujaribu kuachilia kitu, lakini usipige kwa nguvu au mara kwa mara.
5. Ikiwa pua moja tu imeathiriwa, funik pua ambayo haijaathiriwa na kisha pumua kwa upole kupitia pua iliyoathirika.
6. Ikiwa kitu kinaonekana na unaweza kukishika kwa urahisi na kibano, kiondoe unaweza kujitoa kwa utaratibu zaidi.
7. Usijaribu kuondoa kitu ambacho hakionekani au kushikika kwa urahisi.
10 Mpeleke mgonjwa hospitali kwa usimamizi zaidi Tena ikitokea Kama kitu kilichoingia puani hakionekani,au hakijatoka.
Umeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu mambo yanayochangia katika kupona kwa kidonda, ni mambo ambayo yapo kwa mgonjwa mwenyewe kama ifuayavyo.
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza sababu za kwanini mbu hawezi kuambukiza ukimwi
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi vipimo vya kuchunguza kama una kiwango kikubwa cha asidi au tindikali tumboni
Soma Zaidi...Post inaenda kuzungumzia kuhusiana na upungufu wa damu mwilini ambapo tutaona SABABU na dalili zake lakin upungufu wa damu mwilini hujulikana Kama ANEMIA.
Soma Zaidi...Hii ni hali inayotokea ambapo wili unakuwa na joto la juu sana tofauti na kawaida.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza jinsi ya kumfanyia huduma ya Kwanza kwa mtu aloanguka kifafa
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu mbalimbali za chakula kushindwa kumengenywa kwenye tumbo,ni sababu mbalimbali hasa za kiafya kama tutakavyoona hapo mbeleni
Soma Zaidi...Vipi utamsaidia mti ambaye amepaliwa na maji? Post hii itakwenda kukifundisha jambo hili.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea utaratibu wa maisha kwa aliye athirika
Soma Zaidi...