image

Mimba kutoka kabla ya umri wake

Posti hii inahusu zaidi kuhusu kwa mimba kutoka kabla ya mda wake,ni kitendo ambacho mimba utoka kabla ya wiki ishilini na na nane.

Aina za mimba kutoka kwa wakati wake.

1.Kwanza kabisa tunapaswa kuelewa kuwa mimba inaweza kutoka kwa sababu mbalimbali kama vile maambukizi, kutolewa kwa sababu ya kuwepo kwa usalama kwa Mama na pengine kwa sababu za kimakosa kwa sababu watu wengine hawapendi kuzaa kwa sababu zao binafsi.

 

2. Kuna mimba ambayo inatishia kutoka kwa sababu ya kuonyesha dalili zote za kutoka ambazo no pamoja na kutokwa na damu kwenye sehemu za mwili wa mwanamke lakini mlango wa  kizazi unakuwa umefingwa na pia hii inaweza isitoke kwa sababu akipatikana mtu wa kumtunza anaweza kujifungue na mimba isitoke.

 

3.Aina nyingine ya mimba ambapo hata kama Kuna mtu wa kumtunza Mjamzito mimba ni lazima itatoka tu.kwa kitaalamu case  hii inevitable anaemia.

 

4. Kuna aina nyingine ya mimba kutoka ambapo mimba imetoka na Kuna baadhi ya vitu kama vile uchafu kubaki kwenye tumbo la uzazi na vinapaswa kutolewa Ili kuweza kuondoa uchafu huo kusudi usilelete shida yoyote 

 

5. Aina nyingine ya mimba kutoka , ni pale ambapo mimba inatoka na uchafu wake wote unatolewa nje ya tumbo la uzazi.

 

6.Aina nyingine ya me mimba ni Ile ambaye uleta maambukizi kwa sababu ya vifaa vilivyotumika kutokana na vifaa vinavyotumika .

 

7. Kwa hiyo baada ya kujua aina mbalimbali za mimba kutoka Ili kuweza kujua kuwa mimba ipo au imeshatoka kwa hio tunapaswa kuwakemea wote wanaojaribu kutoa mimba kwa kutumia dawa za miti shamba na baadae kuleta maambukizi, kwa hiyo wanapaswa kuwasiliana na wataalamu wa afya kwa maelekezo zaidi

 





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1370


Sponsored links
πŸ‘‰1 kitabu cha Simulizi     πŸ‘‰2 Kitabu cha Afya     πŸ‘‰3 Madrasa kiganjani     πŸ‘‰4 Kitau cha Fiqh    

Post zifazofanana:-

UTI na ujauzito
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu ugonjwa wa UTI kwa wajawazito Soma Zaidi...

Je bado unasumbuliwa na nguvu za kiume?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kuondoa tatizo la nguvu za kiume Soma Zaidi...

DARASA LLA AFYA na afya ya uzazi na malezi bora kwa jamii
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote Soma Zaidi...

Faida na hasara za kutumia kondomu kama njia ya uzazi wa mpango
Kondomu ni mpira ambao uwekwa kwenye uke au uume kwa ajili ya kuzuia mimba wakati wa kujamiiana Soma Zaidi...

Kuwepo kwa maziwa wakati wa ujauzito.
Posti hii inahusu zaidi kuwepo kwa maziwa kwa akina Mama wakati wa ujauzito ni kawaida kwa sababu ya kuzaliwa kwa homoni ambayo usaidia kutoa maziwa. Soma Zaidi...

Huduma za msingi kwa mama mjamzito na mtoto.
Posti hii inahusu zaidi huduma muhimu anazopaswa kupewa mama mjamzito wakati akiwa na mimba, wakati wa kujifungua na baada ya kujifungua yaani ndani ya masaa ishirini na manne, tunajua wazi kuwa Mama akiwa mjamzito anaweza kupata matatizo mbalimbali kwa h Soma Zaidi...

Yajue mazoezi ya kegel
Posti inahusu zaidi mazoezi ya kegel, ni mazoezi ambayo ufanywa na watu wengi na sehemu yoyote yanaweza kufanywa kama vile chumbani, sebuleni, uwanjani na sehemu yoyote ile na kwa watu tofauti. Soma Zaidi...

Mimi nilipima na kipimo mwenyewe nkakuta mistari miwili iliokoza lkn nikifanya tendo nakua naumia sana tatizo ni Nini docta
Je anapatwa maumivu 😭 makali wakati wa tendo la ndoa ama ukiwa katika hedhi? Soma makala hii hadi mwisho Soma Zaidi...

Mambo muhimu ambayo mama mjamzito anatakiwa kuzingatia.
Posti hii inazungumzia kuhusiana na Mambo ambayo mama mjamzito anatakiwa kuzingatia katika kipindi Cha ujauzito au mimba Soma Zaidi...

SIKU HATARI ZA KUPATA UJAUZITO KWA MWENYE MZUNGURUKO WA SIKU KIDONGO AU NYUNGI
SIKU YA KUPATA UJAUZITO Kawaida wanawake walio wengi mzunguruko wa siku zao ni siku 28 lakini wapo ambao ni zaidi ya hapo na wapo ambao ni chini ya hapo. Soma Zaidi...

Maumivu wakati wa hedhi.
Posti hii inahusu zaidi maumivu wakati wa hedhi, haya ni maumivu ambayo utokea wakati wa hedhi kwa wanawake walio wengi, wengine huwa hawayapati kabisa na wengine hutapata na kwa kiwango kikubwa kutegemea na matatizo mbalimbali kama tutakavyoona. Soma Zaidi...

Fahamu madhara ya Maambukizi ya mfumo wa Uzazi wa mwanamke PID
Posti hii inazungumzia kuhusiana na mathara yanayosababisha Ugonjwa wa Maambukizi ya mfumo wa Uzazi wa mwanamke Soma Zaidi...