picha

MADHARA YA KIAFYA YANAYOHUSIANA NA MINYOO: kuliwa kwa tishu, damu, ini na nyama, kuisha damu, kutapika,

MADHARA YA KIAFYA YANAYOHUSIANA NA MINYOO Tofauti na madhara ambayo tumeyaona huko juu kwenye dalili kama maumivu ya kicha, tumbo na miwasho, kichefuchefu na kutapika.

MADHARA YA KIAFYA YANAYOHUSIANA NA MINYOO: kuliwa kwa tishu, damu, ini na nyama, kuisha damu, kutapika,

MADHARA YA MINYOO

MADHARA YA KIAFYA YANAYOHUSIANA NA MINYOO
Tofauti na madhara ambayo tumeyaona huko juu kwenye dalili kama maumivu ya kicha, tumbo na miwasho, kichefuchefu na kutapika. Lakini minyoo ikizidi madhara haya huwenda yakawa makubwa zaidi.

1.mgonjwa anaweza kutapika damu
2.Miwasho mikali kwenye puru na sehemu za siri kwa wanawake
3.Inaweza kuathiri ini na tishu nyingine
4.Inaweza kupelekea kupata ugonjwa wa anaemia
5.Uchpvu, kupungua uzito na homa


                   

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: General Main: Post File: Download PDF Views 1134

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Dua za Mitume na Manabii     👉2 kitabu cha Simulizi     👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉4 Kitabu cha Afya     👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉6 Kitau cha Fiqh    

Post zinazofanana:

Dalili zinazosababisha joto la mwili kuwa juu.

Kiharusi cha joto ni hali inayosababishwa na joto la juu la mwili wako, kwa kawaida kama matokeo ya kukaa kwa muda mrefu au bidii ya mwili katika joto la juu. Aina hii mbaya zaidi ya jeraha la joto, kiharusi cha joto kinaweza kutokea ikiwa joto la mwili

Soma Zaidi...
Dalili za ukimwi siku za mwanzo

Makala hii inakwenda kukupa majibu ya maswali mengi kuhusu VVU na UKIMWI. tutakwenda kuona kwa ufupi historian a chanzo cha VVU na UKIMWI. hatuwa za maambukizi ya VVU na ukimwi na dalili zake za kuonekana toka kupata maambukizi. Pia hapa utajifunza namna

Soma Zaidi...
Elimu juu ya afya ya uzazi

Makala hii itakwenda kukufundisha mambo mbalimbali na muhimu kuhusu afya ya uzazi

Soma Zaidi...
Madhara ya kutotibu Maambukizi kwenye mifupa

Posti hii inahusu zaidi madhara ya kutotibu ugonjwa wa Maambukizi kwenye mifupa, kwa hiyo tusipotibu tunaweza kupata madhara yafuatayo.

Soma Zaidi...
Dalili za jeraha la kawaida kwenye ubongo.

Posti hii inahusu zaidi jeraha kwenye ubongo hasahasa jeraha la kawaida yaani lisilokuwa kali, ni jeraha ambalo utokana na ajali au kupigwa na kitu chochote kwenye kichwa, zifuatazo ni dalili za jeraha lisilokuwa la kawaida kwenye ubongo.

Soma Zaidi...
Faida za mbegu za papai

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za mbegu za papai

Soma Zaidi...