Posti hii inahusu zaidi mkojo wa kawaida kwa kila mwanadamu na unavyopaswakuwa, mkojo wa kawaida kwa binadamu huwa na sifa zifuatazo.
Mkojo wa kawaida kwa sababu.
1.Kiwango Cha mkojo
Kwa kawaida kiwango Cha mkojo huwa ni 1000ml to 1500ml hiki kiwango utegemea na vitu vinavyoweza kuingia kwenye mwili kama vimiminika kama ifuayavyo maji ya kunywa, soda ,juice na vinywaji vingine vingi ambayo vinaweza kuongezeka idadi ya maji mwili na pia Kuna kiwango kinachotoka kwa kupitia kwenye mkojo na kutoa jasho kwa hiyo kiwango Cha mkojo ndani ya maasaa ishilini na manne kinapaswa kuwa sawa.
2. Rangi ya mkojo.
Kwa kawaida rangi ya mkojo huwa na rangi ya njano iliyo pauka, hii ndiyo rangi harisi ya mkojo,na mkojo ukiwa na rangi nyingine ambazo hazieleweki kama vile nyekundu kwa sababu ya kuwepo kwa bakteria hayo ni maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo kwa hiyo mkojo kawaida yake ni kuwa na rangi ya kahawia.
3. Mkojo kwa kawaida yake huwa ni asidi.
Kwa kawaida mkojo huwa ni asidi na pH yake uanzia 4.5 mpaka 7.5 mkojo kwa hiyo mkojo ukaa katika pH ya namba hiyo na haibadiliki na ikibadilika ni kwa sababu ya maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo na sehemu nyingine ambayo uhusika na kuchuja mkojo, lakini mkojo kwa kawaida pH yake huwa ni hiyo hiyo.
4. Vitu vilivyopo kwenye mkojo wa kawaida.
Mkojo wa kawaida huwa na vitu vifuatavyo ambavyo ni pamoja na maji ambayo ya asilimia 96, urea ambayo Ina asilimia 2 na uric asidi ambayo Ina asilimia 2, kwa hiyo tunaona kiwango Cha maji kwenye mkojo ni kikubwa mno, kwa hiyo mkojo wa kawaida unapaswa kuwa na vitu kama hivyo, lakini kuwepo kwa sukari kwenye mkojo hivyo ni kwa sababu ya maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo,
5. Uzito wa mkojo.
Mkojo unapaswa kuwa na uzito mkubwa kuliko maji uzito wa maji ni 1000 ml na Uzito wa mkojo ni kuanzia kwenye 1010 mpaka 1025 uzito huu ubadilika kadri ya kiwango Cha maji kinachonywewa, kwa hiyo mkojo una uzito mkubwa kuliko maji.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Unadhanivkufanya kazi kunaweza kukusababishia maradhi ama mwili kudhoofu, ama kukonda. Umeshawahivkujiuliza wanao nenepa huwa hawafanyi kazi?
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi au inapinga Imani potofu ambayo utokea kwenye jamii kwamba unaweza kuambukizwa Ukimwi kwa vitu ambavyo haviusiani na namna mtu anavyoweza kuambukizwa Ukimwi,Ila mapendekezo kuwa watu wanapaswa kujua kuwa huwezi kuambukizwa Ukimwi k
Soma Zaidi...Posti huu inahusu zaidi visababishi mbalimbali vya magonjwa, tunajua wazi kuwa ugonjwa ni hali ya kutokuwa kawaida kwa ogani mbalimbali kwenye mwili na kusababisha mwili kushindwa kufanya kazi zake vizuri.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi kazi ya chanjo ya Surua kwa watoto, ni Aina ya chanjo ambayo utolewa kwa watoto na kufanya kazi mbalimbali mwilini ambazo ni kumkinga mtoto asipatwe na magonjwa.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili za kuwepo kwa kizungu Zungu,ni Dalili ambazo Uweza kujionyesha kwa mtu ambaye ameshawahi kupatwa na tatizo la kizungu Zungu au hajawahi kupata dalili zenyewe ni kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi hatari zilizopo kwa mtu mwenye uzito mkubwa,kwa sababu ya kuwepo kwa uzito mkubwa na pia unene usio wa kawaida usababisha mtu kuwa na matatizo mbalimbali hasa saratani za kila sehemu kama tutakavyoona.
Soma Zaidi...Maisha ya mtu yanaweza kuwa hatarini ama kupotea mara moja baada ya kunywa sumu.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi tatizo la kizungu Zungu ni tatizo ambalo utokea kwa watu mbalimbali na kwa sababu tofauti tofauti na pengine mtu akipata kizungu sehemu mbaya anaweza kusababisha majeraha au pengine kupata ulemavu
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mambo ya kuangalia kwa mtu aliyepoteza fahamu, kama mtu amepoteza fahamu Kuna mambo muhimu yanapaswa kuangaliwa kwa makini kama ifuayavyo.
Soma Zaidi...