Mkojo wa kawaida
Posti hii inahusu zaidi mkojo wa kawaida kwa kila mwanadamu na unavyopaswakuwa, mkojo wa kawaida kwa binadamu huwa na sifa zifuatazo.
Mkojo wa kawaida kwa sababu.
1.Kiwango Cha mkojo
Kwa kawaida kiwango Cha mkojo huwa ni 1000ml to 1500ml hiki kiwango utegemea na vitu vinavyoweza kuingia kwenye mwili kama vimiminika kama ifuayavyo maji ya kunywa, soda ,juice na vinywaji vingine vingi ambayo vinaweza kuongezeka idadi ya maji mwili na pia Kuna kiwango kinachotoka kwa kupitia kwenye mkojo na kutoa jasho kwa hiyo kiwango Cha mkojo ndani ya maasaa ishilini na manne kinapaswa kuwa sawa.
2. Rangi ya mkojo.
Kwa kawaida rangi ya mkojo huwa na rangi ya njano iliyo pauka, hii ndiyo rangi harisi ya mkojo,na mkojo ukiwa na rangi nyingine ambazo hazieleweki kama vile nyekundu kwa sababu ya kuwepo kwa bakteria hayo ni maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo kwa hiyo mkojo kawaida yake ni kuwa na rangi ya kahawia.
3. Mkojo kwa kawaida yake huwa ni asidi.
Kwa kawaida mkojo huwa ni asidi na pH yake uanzia 4.5 mpaka 7.5 mkojo kwa hiyo mkojo ukaa katika pH ya namba hiyo na haibadiliki na ikibadilika ni kwa sababu ya maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo na sehemu nyingine ambayo uhusika na kuchuja mkojo, lakini mkojo kwa kawaida pH yake huwa ni hiyo hiyo.
4. Vitu vilivyopo kwenye mkojo wa kawaida.
Mkojo wa kawaida huwa na vitu vifuatavyo ambavyo ni pamoja na maji ambayo ya asilimia 96, urea ambayo Ina asilimia 2 na uric asidi ambayo Ina asilimia 2, kwa hiyo tunaona kiwango Cha maji kwenye mkojo ni kikubwa mno, kwa hiyo mkojo wa kawaida unapaswa kuwa na vitu kama hivyo, lakini kuwepo kwa sukari kwenye mkojo hivyo ni kwa sababu ya maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo,
5. Uzito wa mkojo.
Mkojo unapaswa kuwa na uzito mkubwa kuliko maji uzito wa maji ni 1000 ml na Uzito wa mkojo ni kuanzia kwenye 1010 mpaka 1025 uzito huu ubadilika kadri ya kiwango Cha maji kinachonywewa, kwa hiyo mkojo una uzito mkubwa kuliko maji.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Madrasa kiganjani 👉2 Bongolite - Game zone - Play free game 👉3 kitabu cha Simulizi 👉4 web hosting 👉5 ai web app 👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
Post zinazofanana:
Mambo yanayochangia Ili dawa kuingia kwenye damu vizuri
Post hii inahusu zaidi mambo yanayochangia Ili dawa iingie vizuri kwenye damu, na mambo yanayoweza kusababisha dawa kuingia au kutoingia vizuri kwenye damu.
Soma Zaidi...Zijue kazi za uke (vagina)
Uke ni sehemu ambayo imo ndani ya mwili wa mwanamke, sehemu hii ufanya kazi mbalimbali hasa wakati wa kujamiiana, kubarehe na kujifungua kwa mama.
Soma Zaidi...Kazi za wahudumu wa afya wakati wa kutoa dawa kwa wagojwa
Hii post inahusu zaidi kazi za wahudumu wa afya wakati wa kutoa dawa, ni kanuni zinazopaswa kufuata wakati wa kutoa dawa kwa wagojwa.
Soma Zaidi...fahamu vitamini A na kazi zake
Je na wewe i katika wale ambaowanahitaji kujuwa kuhusu Vitamini A, kazi zake na vyakula vya vitamini A. post hii inakwenda kukujuza zaidi pamoja na historia ya vitamini A.
Soma Zaidi...Madhara ya kutotibu magonjwa ya vidonda vya tumbo
Post hii inahusu zaidi madhara ya kutotibu magonjwa ya vidonda vya tumbo, ni hatari inayotokea kwa mtu ambaye haujatibiwa vidonda vya tumbo.
Soma Zaidi...Athari za mkojo mwilini.
Posti hii inahusu zaidi athari za mkojo mwilini, kwa kawaida tunafahamu kwamba mkojo ni matokeo ya mkusanyiko wa uchafu wa maji maji yanayokusanyika kutoka mwilini ikiwa mkojo umebaki mwilini usababisha madhara mbalimbali kama tutakavyoona.
Soma Zaidi...