Posti hii inahusu zaidi mlo kwa wagonjwa wa figo wanaochujwa damu, ni wagonjwa ambao figo zao zimeharibika na zimeshindwa kufanya kazi au pengine kuna uchafu mwingi mwilini ambao uchujwa kwa hiyo kuna vyakula muhimu ambavyo wagonjwa wa figo wanapaswa kutu
Chakula muhimu kwa wagonjwa wa figo wanaochujwa figo.
1. Kwanza kabisa tunaanza na chai ya asubuhi.
Mgonjwa anapaswa kula sehemu ya yai nyeupe, angalau mawili, yai moja liwe na kiini. Pia kwa wakati huo wa asubuhi mgonjwa anapaswa kula mkate wowote wa slesi 2_3 na pia uji wa nafaka yoyote kwa mfano ulezi, mtama, mahindi na maharage. Pia mgonjwa anapaswa kutumia tunda, mhogo wa kuchemsha na chapati maji pia mgonjwa atumie chai ya maziwa, chai ya rangi,supu kwa upande wa supu anapaswa kutumia kikombe kidogo pamoja na vyakula hivi mgonjwa hapaswi kula mara kwa mara nyama ya dafu.
2. Pia mda wa saa nne au saa tano asubuhi.
Maziwa ya mtindo na tunda, mkate wowote, sles moja au mhogo wa wa kuchemsha, chapati maji, chai ya maziwa, chai ya rangi, supu lazima kiwe kikombe kimoja kidogo, pia mgonjwa hasira viazi mviringo, viazi vitamu, mihogo, machimbo, viazi vikuu na maboga kwa hiyo wahudumu wanapaswa kuwa makini katika kufuata mlo kamili.
3. Kwa upande wa chakula cha mchana na jioni.
Mgonjwa anapaswa kula wali, chapati bila chumvi, ugali,na au nafaka yoyote, kuku kipa kiasi, dagaa, maharage au kunde mbichi nusu kikombe au njegere na Namna ya kupika maharage, kunde, choroko, dengu, njugu mawe, mbaazi kavu . Pia mgonjwa anapaswa kuepuka nyama ya ng'ombe kuila mara kwa mara angalau mara mbili kwa wiki.
4. Pia mgonjwa anapaswa kula mboga mboga za majani kama vile karoti zilizopikwa, matembele, majani ya kunde, majani ya maboga,chinisi kabeji, kabeji iliyopikwa, tango, saladi, vitunguu vibichi figili mbichi, mnavu mahindi, sukuma wiki koliflower iliyopikwa , bilinganya iliyopikwa maharage Mahanga yaliyopimwa, nyanya chungu pia mgonjwa anapaswa kuepuka kula mara kwa mara mchicha, bamia, maboga, Spinachi,juisi na supu na mbegu kama ya maboga alizeti,ufuta zitumike kiasi kidogo
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Hapa tutaangalia baadhi ya sababu zinazopelekea mdomo kujaa mate na namna ya kutibu tatizo la kujaa kwa mate mdomoni
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili ambazo mtu anaweza kupata ikiwa Kuna maambukizi kwenye magoti, kwa sababu mbalimbali ambazo usababisha maumivu au maambukizi kwenye magoti Kuna dalili za mwanzo ambazo zinajitokeza kama tutakavyoona hapo chini
Soma Zaidi...Habari, samahani ninasumbuliwa Sana na mapunye ya kichwani nimetumia dawa takribani miaka 3 ila yanapona Tena baada ya Muda flani yanatokea.
Soma Zaidi...Hapautajifunza rangi kuu za mkojo na dalili zako kiafya, mkojo mchafu na dalili zake
Soma Zaidi...Malaria ni moja ya magonjwa hatari yanayoongoza katika vifo vya watoto wengi duniani walio chni ya umri wa miaka 5. Katika post hii utakwend akujifunza kuhusuugonjwa huu jinsi unavyotokea, hatuwa zake na dalili zake.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi vyanzo vya magonjwa yanayotokea kwenye sehemu za siri,kwa sababu siku kwa siku kuna magonjwa mengi yanayotokea kwenye sehemu za siri ila kuna vyanzo mbalimbali ambavyo usababisha kuwepo kwa magonjwa kwenye sehemu mbalimbali za siri
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia sababu zinazopelekea kuumwa na kifua.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea ikiwa matibabu kwenye nyonga na kiuno hayatafanyika.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali za kuzuia upele, ni njia ambazo utumiwa Ili kupunguza tatizo la upele kwenye jamii, kwa hiyo jamii inapaswa kutumia njia hizi Ili kuweza kupambana na ugonjwa huu ambao unatibika.
Soma Zaidi...