picha

Mlo kwa wagonjwa wa figo wanaochujwa damu

Posti hii inahusu zaidi mlo kwa wagonjwa wa figo wanaochujwa damu, ni wagonjwa ambao figo zao zimeharibika na zimeshindwa kufanya kazi au pengine kuna uchafu mwingi mwilini ambao uchujwa kwa hiyo kuna vyakula muhimu ambavyo wagonjwa wa figo wanapaswa kutu

Chakula muhimu kwa wagonjwa wa figo wanaochujwa figo.

1. Kwanza kabisa tunaanza na chai ya asubuhi.

Mgonjwa anapaswa kula sehemu ya yai nyeupe, angalau mawili, yai moja liwe na kiini. Pia kwa wakati huo wa asubuhi  mgonjwa anapaswa kula mkate wowote wa slesi 2_3 na pia uji wa nafaka yoyote kwa mfano ulezi, mtama, mahindi na maharage. Pia mgonjwa anapaswa kutumia tunda, mhogo wa kuchemsha na chapati maji pia mgonjwa atumie chai ya maziwa, chai ya rangi,supu kwa upande wa supu anapaswa kutumia kikombe kidogo pamoja na vyakula hivi mgonjwa hapaswi kula mara kwa mara nyama ya dafu.

 

2. Pia mda wa saa nne au saa tano asubuhi.

Maziwa ya mtindo na tunda, mkate wowote, sles moja au mhogo wa wa kuchemsha, chapati maji, chai ya maziwa, chai ya rangi, supu lazima kiwe kikombe kimoja kidogo, pia mgonjwa hasira viazi mviringo, viazi vitamu, mihogo, machimbo, viazi vikuu na maboga kwa hiyo wahudumu wanapaswa kuwa makini katika kufuata mlo kamili.

 

3. Kwa upande wa chakula cha mchana na jioni.

Mgonjwa anapaswa kula wali, chapati bila chumvi, ugali,na au nafaka yoyote, kuku kipa kiasi, dagaa, maharage au kunde mbichi nusu kikombe au njegere na Namna ya kupika maharage, kunde, choroko, dengu, njugu mawe, mbaazi kavu . Pia mgonjwa anapaswa kuepuka nyama ya ng'ombe kuila mara kwa mara angalau mara mbili kwa wiki.

 

4. Pia mgonjwa anapaswa kula mboga mboga za majani kama vile karoti zilizopikwa, matembele, majani ya kunde, majani ya maboga,chinisi kabeji, kabeji iliyopikwa, tango, saladi, vitunguu vibichi figili mbichi, mnavu mahindi, sukuma wiki koliflower  iliyopikwa , bilinganya iliyopikwa maharage Mahanga yaliyopimwa, nyanya chungu  pia mgonjwa anapaswa kuepuka kula mara kwa mara mchicha, bamia, maboga, Spinachi,juisi na supu na mbegu kama ya maboga alizeti,ufuta zitumike kiasi kidogo 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2022/01/13/Thursday - 01:37:20 pm Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 2405

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉5 Dua za Mitume na Manabii    👉6 web hosting   

Post zinazofanana:

Maumivu, kizunguzungu, kichefuchefu na kutoka na damu ni dalili zamimba?

Je unapata dalili zisizoeleweka ni ni za mimba ama laa. Hapa nitakujuza hali baadhi ya wanawake zinazowatokea.

Soma Zaidi...
Dalili za ugonjwa wa Donda koo

Posti hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa Donda Koo ni ugonjwa unaosababishwa na vimelea viitwavyo kwa kitaalamu corynebacterium diphtheria, ugonjwa huu ushambulia Koo na unaweza kuenea kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine kwa njia ya hewa, mate na

Soma Zaidi...
Maradhi ya Ini na dalili zake, na vipi utajikinga nayo

MAGONJWA YA INI NA DALILIZAKE, NA KUKABILIANA NAYO Ini ni katika viungo vikuu katika mwili wa binadamu.

Soma Zaidi...
Dawa za kutuliza vvu zinaongeza damu

Hakuna dawa ya UKIMWI ya kutibu kuondoa virusi mwilini, lakini zipo dawa za kuweza kupunguza makali ya virusi hawa. Hivi unesha jiuliza kuwa je zile dawa zinaongeza damu?

Soma Zaidi...
Yaani minasumbuliwa na mgongo kuuma pia kuchoka mgongo na homa zisizo isha

Maumivu ya mgongo yanaweza kuwa ni dalili inayoonyesha tatizo fulani la kiafya ikiwemo magonjwa au majeraha.

Soma Zaidi...
Matatozo katika choo kidogo, maradhi ya figo na dalili zake pia namna ya kujikinga na madhradhi ya figo

MATATIZO YA CHOO KIDOGO NA FIGOFigo ni kiungo muhimu sana katika uchujaji wa mkojo, na afya ya mfumo wa utoaji taka mwili.

Soma Zaidi...
Fahamu Ugonjwa wa upungufu wa Adrenali.

Posti hii inaelezea kuhusiana na Ugonjwa wa upungufu wa Adrenali ni ugonjwa ambao hutokea wakati mwili wako hutoa kiasi cha kutosha cha homoni fulani zinazozalishwa na tezi zako za adrenali. ugonjwa huu hutokea katika makundi yote ya umri na huathiri

Soma Zaidi...
Namna ya kumsaidia mtoto mwenye UTI

Post hii inahusu zaidi namna ya kuwasaidia mtoto akiwa na ugonjwa wa UTI.

Soma Zaidi...
Ugonjwa wa kiseyeye upoje na ni zipi dalili zake

ugonjwa wa kiseyeye, chanzo chake vipi unatokea na ni zipi dalili zake. Yote haya utayapata hapa

Soma Zaidi...
Huduma kwa mtoto mwenye Maambukizi kwenye mifupa

Posti hii inahusu zaidi msaada kwa mtoto mwenye Maambukizi kwenye mifupa, ni huduma anayopewa mtoto mwenye Maambukizi kwenye mifupa.

Soma Zaidi...