Posti hii inahusu zaidi mlo kwa wagonjwa wa figo wanaochujwa damu, ni wagonjwa ambao figo zao zimeharibika na zimeshindwa kufanya kazi au pengine kuna uchafu mwingi mwilini ambao uchujwa kwa hiyo kuna vyakula muhimu ambavyo wagonjwa wa figo wanapaswa kutu
Chakula muhimu kwa wagonjwa wa figo wanaochujwa figo.
1. Kwanza kabisa tunaanza na chai ya asubuhi.
Mgonjwa anapaswa kula sehemu ya yai nyeupe, angalau mawili, yai moja liwe na kiini. Pia kwa wakati huo wa asubuhi mgonjwa anapaswa kula mkate wowote wa slesi 2_3 na pia uji wa nafaka yoyote kwa mfano ulezi, mtama, mahindi na maharage. Pia mgonjwa anapaswa kutumia tunda, mhogo wa kuchemsha na chapati maji pia mgonjwa atumie chai ya maziwa, chai ya rangi,supu kwa upande wa supu anapaswa kutumia kikombe kidogo pamoja na vyakula hivi mgonjwa hapaswi kula mara kwa mara nyama ya dafu.
2. Pia mda wa saa nne au saa tano asubuhi.
Maziwa ya mtindo na tunda, mkate wowote, sles moja au mhogo wa wa kuchemsha, chapati maji, chai ya maziwa, chai ya rangi, supu lazima kiwe kikombe kimoja kidogo, pia mgonjwa hasira viazi mviringo, viazi vitamu, mihogo, machimbo, viazi vikuu na maboga kwa hiyo wahudumu wanapaswa kuwa makini katika kufuata mlo kamili.
3. Kwa upande wa chakula cha mchana na jioni.
Mgonjwa anapaswa kula wali, chapati bila chumvi, ugali,na au nafaka yoyote, kuku kipa kiasi, dagaa, maharage au kunde mbichi nusu kikombe au njegere na Namna ya kupika maharage, kunde, choroko, dengu, njugu mawe, mbaazi kavu . Pia mgonjwa anapaswa kuepuka nyama ya ng'ombe kuila mara kwa mara angalau mara mbili kwa wiki.
4. Pia mgonjwa anapaswa kula mboga mboga za majani kama vile karoti zilizopikwa, matembele, majani ya kunde, majani ya maboga,chinisi kabeji, kabeji iliyopikwa, tango, saladi, vitunguu vibichi figili mbichi, mnavu mahindi, sukuma wiki koliflower iliyopikwa , bilinganya iliyopikwa maharage Mahanga yaliyopimwa, nyanya chungu pia mgonjwa anapaswa kuepuka kula mara kwa mara mchicha, bamia, maboga, Spinachi,juisi na supu na mbegu kama ya maboga alizeti,ufuta zitumike kiasi kidogo
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu minyoo na athari zao kiafya
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu tahadhari za kuchukua ili kujikinga na UTI
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na Dalili na ishara za shambulio la moyo. Shambulio la moyo huzuia damu yenye oksijeni kufika kwenye moyo hivyo hupelekea tishu kufa. Na Ugonjwa huu mtu akicheleweshewa matibabu huweza kupata mshtuko wa moyo mpaka kifo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi Magonjwa ya kuambukiza, ni magonjwa ambayo yanaweza kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine na kuweza kusababisha madhara yale yale kwa mtu aliyeambukizwa au anayeambukiza kwa hiyo Maambukizi yanaweza kuwa ya moja kwa moja au yasi
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu fangasi wa sehemu za Siri
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu ugonjwa wa kiseyeye na dalili zake
Soma Zaidi...Fangasi huweza kuishi na kuathiri maeneo mbalimbali ndani ya mwili.
Soma Zaidi...Hivi huwa unachunguza choo chako? ivi huwa kinazama kwenye maji ama kinaelea? Kila damu ama malendalenda, je ni cheusi sana na kina harufu kali sana.
Soma Zaidi...Mashambulizi ya bacteria kwenye Ngozi hujitokeza sehemu yenye jeraha pia huonyesha wekundu wenye upele,Uvimbe na malengelenge.
Soma Zaidi...