Msaada kwa wenye Maambukizi kwenye mifupa

Msaada kwa wenye Maambukizi kwenye mifupa

Posti hii inahusu zaidi namna ya kuwahudumia wenye Maambukizi kwenye mifupa, ni njia ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kuwasaidia wenye Maambukizi kwenye mifupa.

Huduma kwa wenye Maambukizi kwenye mifupa.

1.Kuwapatia maji yenye antibiotics.

 

2.kuwawaweka kwenye mkao mzuri ili kuweza kuepuka kunasababisha maumivu kwa mara ya pili.

 

3.Kupima joto na mwili, presha, msukumo wa damu na mapigo ya moyo.

 

4. Kusafisha kidonda ili kuhakikisha kuwa uchafu umeisha kwa kufuata hatua zote za uchafu.

 

5. Kuhakikisha unajua kiasi cha maji kilichoingia na kilichotoka.

 

6.Kwenda kwenye mazoezi ili kurekebisha sehemu yenye matatizo.

 

7.kumpatia mgonjwa dawa ya maumivu ili kupunguza maumivu hayo.

 

 

 

 

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu Rajabu
Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views: 1573

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
๐Ÿ‘‰1 kitabu cha Simulizi     ๐Ÿ‘‰2 ai web app     ๐Ÿ‘‰3 Kitabu cha Afya     ๐Ÿ‘‰4 Simulizi za Hadithi Audio     ๐Ÿ‘‰5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     ๐Ÿ‘‰6 Bongolite - Game zone - Play free game    

Post zinazofanana:

Yajue mashambulizi ya bacteria kwenye Ngozi (cellulitis)

Mashambulizi ya bacteria kwenye Ngozi hujitokeza sehemu yenye jeraha pia huonyesha wekundu wenye upele,Uvimbe na malengelenge.

Soma Zaidi...
Dalili za UTI kwa wanaume

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za UTI upande wa wanaume

Soma Zaidi...
Dalili za Maambukizi kwa Wanaume

โ€‹Makala haya yanatoa mwongozo muhimu kuhusu dalili za maambukizi ya mfumo wa mkojo na uzazi kwa wanaume. Tunasisitiza umuhimu wa utambuzi wa mapema na kutafuta ushauri wa kitaalamu wa kitabibu ili kuepuka matatizo ya muda mrefu ya kiafya.

Soma Zaidi...
Dalili za fangasi wa kucha.

Posti hii inazungumzia kuhusiana na dalili,sababu za Hatari,na namna ya kujizuia na fangasi wa kucha.

Soma Zaidi...
Upweke (Loneliness) and athari zake kiafya.

โ€‹Katika jamii ya kisasa, upweke umetajwa na wataalamu wengi wa afya kuwa ni janga la kimya kimya linaloathiri mamilioni ya watu duniani. Makala hii inachunguza kwa kina dhana ya upweke, ikibainisha tofauti iliyopo kati ya kuwa peke yako (being alone) na kujihisi mpweke (feeling lonely). Aidha, tutaangazia athari kubwa za kiafya zinazotokana na hali hii, kuanzia magonjwa ya moyo hadi matatizo ya afya ya akili, na kutoa mwongozo wa hatua za kuchukua ili kujenga mahusiano yenye tija.

Soma Zaidi...
โ€‹Dalili za UKIMWI Huchukua Muda Gani Kuonekana?

Watu wengi hujiuliza ni muda gani huchukua kwa mtu aliyeambukizwa virusi vya HIV kuanza kuonyesha dalili za UKIMWI. Makala hii inafafanua hatua tatu za maambukizi ya HIV, muda unaochukua kwa dalili kujitokeza, na kwa nini kupima ndiyo njia pekee ya uhakika ya kujua afya yako.

Soma Zaidi...