MSAADA KWA WENYE TONSILS


image


Posti hii inahusu zaidi msaada kwa wenye tonsils, kwa wale wenye tonsils wanapaswa kufanya yafuatayo ili kuweza kupambana na ugonjwa huu.


Msaada kwa wenye tonsils.

1.Kwanza kabisa Mgonjwa wa tonsils anakuwa na maumivu kwa hiyo tunapaswa kumpatia dawa ya maumivu ili aweze kupunguzwa maumivu ,dawa zenyewe ni kama vile Asprin na paracetamol kwa kufanya hivyo Mgonjwa atapata nafuu na matibabu mengine yatakuwa yanaendelea.

 

2. Pia unaweza kuchukua maji ya uvugu uvugu ukaweka chumvi na pia ukampatia Mgonjwa akasukutua kwenye sehemu ya tonsils na kwa kufanya hivyo anaweza kuua bakteria ambao wapo wanamsumbua Mgonjwa na nafuu inaweza kupatikana.

 

3. Pia kwa wenye tonsils zinazosababishwa na bakteria wanaweza kutumia antibiotics aina ya amoxicillin na ikishirikiana anatumia ciploflaxine na zote hizi zikishindikana anaweza kutumia sindano na pia dawa hizi zinapaswa kutumiwa kwa kupata ushauri kutoka kwa wataalamu wa afya sio kununua tu dukani pasipokuwa na utaalamu wa kutosha.

 

4.Kama nilivyokwosha tangulia kusema hapo mwanza kuwa tonsils zinazosababishwa na virus hazina dawa ni mpaka kumuandaa Mgonjwa kwa ajili ya upasuaji na Dalili zake ni pamoja na pua kutoa makamasi yenye  maji, matatizo kwenye kuona na kikohozi hizi ndizo dalili za tonsils ambazo usababishwa na virus.

 

5.Kwa hiyo tunapaswa kutibu ugonjwa huu kwa sababu usipotibiwa unaweza kuleta shida kwenye figo, kwenye Tishu nyingine za mwili kwa hiyo ni vizuri kabisa kutafuta tiba kulingana na chanzo cha ugonjwa



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Mafunzo ya html kwa kiswahili       ðŸ‘‰    2 Madrasa kiganjani       ðŸ‘‰    3 Mafunzo ya php       ðŸ‘‰    4 Hadiythi za alif lela u lela       ðŸ‘‰    5 Jifunze fiqh       ðŸ‘‰    6 Maktaba ya vitabu    


Je! una maswali, mapendekezo ama maoni? tuma ujumbe wa meseji SMS hapo chini ili kuunganishwa na muhusika au bofya hapa

SMS SMS



Post Nyingine


image Hatua za Maambukizi ya ugonjwa wa ukimwi.
Posti hii inahusu zaidi hatua mbalimbali za Ugonjwa wa Ukimwi, kawaida Ugonjwa huu huwa na hatua kuu nne ila kila hatua huwa na sifa zake kwa hiyo tunapaswa kujua hatua za Ugonjwa huu na kujaribu kuzuia maambukizi yasisambae kabisa. Soma Zaidi...

image Huduma kwa wanaotoa damu yenye mabonge
Posti hii inahusu zaidi namna ya kuwasaidia wanaotoa hedhi yenye mabonge, ni tatizo ambalo uwakumba wasichana hata wanawake wakati wa hedhi. Soma Zaidi...

image Vitamini na kazi zake
Posti hii inahusu zaidi vitamini mbalimbali na kazi zake kwenye mwili,vitamini ufanya kazi mbalimbali kwenye mwili kama ifuayavyo. Soma Zaidi...

image Jifunze kuhusu msukumo wa damu kwa kitaalamu huitwa pressure
Kupanda kwa msukumo wa damu ni ktendo ambapo moyo husukuma damu kwa nguvu kuliko kawaida ambapo hupelekea matatizo mengi kwenye mwili Soma Zaidi...

image Huduma ya kanza kwa mgonjwa mwenye jeraha la kawaida kwenye ubongo
Posti hii inahusu zaidi huduma ya kwanza ya mgonjwa mwenye jeraha la kawaida kwenye ubongo, ni Tiba ambayo utolewa kulingana na dalili za jeraha la kawaida kwenye ubongo kama ifuayavyo. Soma Zaidi...

image Ni nini husababisha kuziba kwa Njia ya machozi
Posti hii inaelezea kuhusiana na dalili na sababu zinazopelekea Ugonjwa wa kuziba kwa Njia ya machozi yaani kukosa machozi ambayo husababishwa na maambukizi. Soma Zaidi...

image Kuwepo kwa mabonge ya damu wakati wa hedhi
Posti hii inahusu zaidi kuwepo kwa mabonge ya damu wakati wa hedhi, tunajua kabisa wakati wa hedhi damu inapaswa kuwa nyepesi na ya kawaida ila kuna wakati mwingine inakuwa na mabonge zifuatazo ni sababu za kuwepo kwa mabonge ya damu wakati wa hedhi. Soma Zaidi...

image Kuhifadhiwa kwa Quran
Quran (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

image Vifaa vya kutumia wakati wa kusafisha vidonda.
Posti hii inahusu zaidi vifaa vya kutumia wakati wa kusafisha vidonda, ni vifaa muhimu ambavyo mara nyingi kutwa hospitalini. Soma Zaidi...

image Maumivu ya tumbo kitovuni
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu maumivu ya tumbo kitovuni Soma Zaidi...