Post hii inahusu zaidi watoto wa wawili ambapo mmoja ni mtoto wa tajiri na mwingine ni mtoto wa maskini.
1.basi hao watoto wakiendelea kukua na kusoma shule na kila mtu na ratiba yake mmoja ratiba yake ya maisha ya kitajiri na mwingine maisha yake ya umaskini, katika maisha ya mitihani shuleni mtoto wa tajiri alikuwa anakuwa wa kwanza kwa sababu waalimu walikuwa wanahongwa ela na mtoto wa maskini alikuwa anakuwa wa pili au wa tatu kwa kutumia akili zake,
2. Basi ikafika wakati wa mtihani wa mwisho yaani kumaliza darasa la Saba, wazazi wa mtoto wa tajiri wakapiga akili namna ya kumsaidia mtoto wao kwa sababu alikuwa kilaza, kwa hiyo walienda kwa familia ya mtoto maskini na kusonga Hela kubwa na kishirikiana na waalimu kusudi mtoto wa tajiri akae karibu na mtoto wa maskini Ili wawe wanaonyeshana majibu, basi wale wazazi wakapewa Hela na yule mtoto wa maskini alihaidiwa kupewa laptop na simu kubwa baada ya kumaliza shule na yule mtoto alifurahi sana kusikia hivyo.
3. Na siku ya mtihani ikafika kwa sababu wale wazazi walikuwa na ela waliongea pia na msimamizi wa mtihani naye alikubali wakae wote kusudi wamwonyeshe majibu, basi mtihani ukaanza yule mtoto wa tajiri akakaa na mtoto wa maskini na akamwonyesha kila kitu na mtihani ukimalizika salama na pia matokeo yakatoka na kwa kuwa yule mtoto wa maskini alikuwa na akila sana alichaguliwa kwenye shule za vipaji maalumu na pia yule mtoto wa tajiri naye alichaguliwa kwenye shule za vipaji maalumu kwa sababu mtihani alifanyiwa na mtoto wa tajiri.
4. Basi matokeo yalipotoka yule baba tajiri alifurahi sana na akamwongezea yule mtoto wa maskini zawadi kubwa na akahaidi kumlipia karo ya mwaka wa form one, na siku zilifika za kwenda shule yule mtoto wa tajiri alikuwa na kila kitu kilichohitajika shuleni ila mtoto wa maskini alikuwa na karo aliyofadhiriwa nauli na madaftari, karamu na sabini pamoja na uniform, hali iliyomfanya kuridhika na alichonacho, kwa sababu safari ilikuwa ndefu mtoto wa maskini alifungiwa mhogho wa kula njiani na maji ila yule wa tajiri alifungiwa vitu vingi mno vya kula njiani.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya hapa chini kuipakua sasa!
Umeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi hasara za wivu, kwa sababu ya kuwepo kwa marafiki wasio waaminifu wanasababisha kuharibiana maisha bila kujua kwa sababu ya kuonekana wivu na kutokuwa wazi.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mambo muhimu ambayo hufahamu kuhusu mazoezi,ni mambo ambayo utokea au no matokeo mazuri kwa watu wanaofanya sana mazoezi.
Soma Zaidi...Post hii inahusu hadithi Moja ya kijana maaalufu aliyeitwa Frank, ni kijana aliyekuwa mwaminifu ila amekumbana na wasichana wengi wanamasaliti ukizingatia Frank alikuwa kijana mstaalabu na mwaminifu sana ila anafikia kufanya maamuzi magumu kufuatana na ku
Soma Zaidi...Post hii ni mwendelezo wa hadithi ambayo Kwa jina inaitwa wakati wa Kufumbuka, ni mwendelezo wa pale maria anawekwa mbele ya wazee Ili akili kwamba John sio mtoto wa Mzee maganga ila maria akikumbuka wazi kwamba John ni mtoto wa Mzee maganga anakataa kuki
Soma Zaidi...Post hii inahusu hadithi fupi tu kuhusu mtoto wa tajiri na maskini, palikuwepo na watoto wawili mmoja akiwa mtoto wa tajiri na mwingine wa maskini.
Soma Zaidi...Hii ni siri kubwa kuhusu wanawake. Hapa utajifunza jinsi ya kumfanya mwanamke asikuache.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili, hapa tunaona Jackie anajibu barua ya Julius kwa kusema yafuatayo.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi hadithi mpya na nzuri inayoitwa wakati wa Kufumbuka, ni hadithi inayohusu maisha ya kawaida ambapo watu ushindwa kudhamini watu wa karibu nao na kuona watu wa mbali ndio wenye maana ila shida zikifika ndipo wanaona umuhimu wao.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme, baada ya kijana wa kiume wa binti mfalme kuoa yule ndugu yake baba anafanya sherehe kubwa na wake wenza wamepata habari kwamba kijana wa kiume wa mfalme ameoa ndugu yake wakaamuru kunyamaza il
Soma Zaidi...