Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya Mama mchoyo na mwehu, kwa sababu mwehu alikuwa mkarimu alichukua ule mkate akawapstia watoto wa yule mama wakiwa wanatoka shule kwa hiyo tutaona kilichotokea kwa wale watoto.
1. Kama tulivyotangulia kusema kwamba yule mama alikuwa na watoto watatu mmoja alikuwa darasa la tatu, mwingine darasa la tano na mwingine darasa la sita kwa hiyo huyo mwehu alikutana na watoto hao na watoto walipoona yule mwehu wakaanza kusema maneno aliyoyasema siku zote kwamba ukitenda mazuri unajitendea mwenyewe na ukitenda mabaya unajitendea mwenyewe naomba mkate yule mwehu akachukua ule mkate akawapa watoto wakagawanya na kula.
2. Basi baada ya mwehu kwenda zake watoto wote watatu wakaanza kuumwa na matumbo na kuanza kulalamika na kadri ya mda ulivyoenda ndipo na hali ilizidi kuwa mbaya kwa hiyo hawakuweza kufika nyumbani Bali waliachia njiani na kuanza kutapika sana na kuharisha kwa hiyo wakapekekwa hospital na baadae Mama alipokuwa anakwenda hospital kuwaona watoto wake alikutana na yule mwehu namwehu alipomwona alitamka maneno Yale Yale kwamba ukitenda mabaya unajitendea mwenyewe na ukitenda mazuri unajitendea mwenvyewe naomba mkate, yule mama akamfukuza yule mwehu machoni mwake.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya hapa chini kuipakua sasa!
Umeionaje Makala hii.. ?
Post hii inahusu zaidi mtoto wa tajiri na mtoto wa maskini wakipanda gari kuelekea shule kuanza maisha mapya.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi hadithi ya vijana wawili ambao walipoteana katika hali za kukimbizwa na wazazi Ili waweze kutimiza ndoto zao na siku wakakutana wakiwa watu wazima.
Soma Zaidi...Post hii inahusu hadithi fupi tu kuhusu mtoto wa tajiri na maskini, palikuwepo na watoto wawili mmoja akiwa mtoto wa tajiri na mwingine wa maskini.
Soma Zaidi...Post hii inahusu mwendelezo wa hadithi ya kijana Frank na Amisa pia na wapenzi wawili ambao ni James na Amina.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi vijana wawili ambao ni msichana na mvulana walioingia kwenye mahusiano wakiwa sekondari na wakahaidiana kuoana ila kwa sababu mbalimbali walizokutana nazo kwenye safari yao ya mahusiano mmoja akamsaliti mwingine na kusababisha kupo
Soma Zaidi...Post hii ni mwendelezo wa hadithi inayohusu Kufumbuka ambapo , John anaonekana kama sio mtoto wa Mzee maganga kwa sababu na miungu imekili kwa sababu chakula chote kimeliwa na kuisha.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili,ambapo Mama yake na Jackie pamoja na jack wakiwa hospital na jack anaendelea kumwita Julius kila mara.
Soma Zaidi...Β Posti hii inahusu zaidi jinsi ya watu walivyoishi katika kijiji cha burugo .tunajuwa hadithi ni sehemu mojawapo ya kubirudisha na kujifunza kitu flani kutoka kwenye jamii .
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi habari za Mama mmoja aliyekuwa mchoyo akampa mkate mwehu na kuutia Sumu ila kwa sababu mwehu alikuwa mkarimu sana aliutunza mkate na kuwapatia watoto wa yule mama waliokuwa wakitoka shule na njaa kali
Soma Zaidi...Nani kama mama? Hadithi hii itakufunza umuhimu wa kuwa muwazi kuhusu familia yako.
Soma Zaidi...