MWENDELEZO WA HADITHI YA MAMA MCHOYO NA MWEHU


image


Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya Mama mchoyo na mwehu, kwa sababu mwehu alikuwa mkarimu alichukua ule mkate akawapstia watoto wa yule mama wakiwa wanatoka shule kwa hiyo tutaona kilichotokea kwa wale watoto.


Mwendelezo wa hadithi ya Mama mchoyo na mwehu.(sehemu ya pili)

1. Kama tulivyotangulia kusema kwamba yule mama alikuwa na watoto watatu mmoja alikuwa darasa la tatu, mwingine darasa la tano na mwingine darasa la sita kwa hiyo huyo mwehu alikutana na watoto hao na watoto walipoona yule mwehu wakaanza kusema maneno aliyoyasema siku zote kwamba ukitenda mazuri unajitendea mwenyewe na ukitenda mabaya unajitendea mwenyewe naomba mkate yule mwehu akachukua ule mkate akawapa watoto wakagawanya na kula.

 

2. Basi baada ya mwehu kwenda zake watoto wote watatu wakaanza kuumwa na matumbo na kuanza kulalamika na kadri ya mda ulivyoenda ndipo na hali ilizidi kuwa mbaya kwa hiyo hawakuweza kufika nyumbani Bali waliachia njiani na kuanza kutapika sana na kuharisha kwa hiyo wakapekekwa hospital na baadae Mama alipokuwa anakwenda hospital kuwaona watoto wake alikutana na yule mwehu namwehu alipomwona alitamka maneno Yale Yale kwamba ukitenda mabaya unajitendea mwenyewe na ukitenda mazuri unajitendea mwenvyewe naomba mkate, yule mama akamfukuza yule mwehu machoni mwake.



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Mafunzo ya html kwa kiswahili       ðŸ‘‰    2 Jifunze fiqh       ðŸ‘‰    3 Mafunzo ya php       ðŸ‘‰    4 Madrasa kiganjani       ðŸ‘‰    5 Hadiythi za alif lela u lela       ðŸ‘‰    6 Magonjwa na afya    


Je! una maswali, mapendekezo ama maoni? tuma ujumbe wa meseji SMS hapo chini ili kuunganishwa na muhusika au bofya hapa

SMS SMS



Post Nyingine


image NIMLAUMU NANI part 1
Post hii inahusu hadithi Moja ya kijana maaalufu aliyeitwa Frank, ni kijana aliyekuwa mwaminifu ila amekumbana na wasichana wengi wanamasaliti ukizingatia Frank alikuwa kijana mstaalabu na mwaminifu sana ila anafikia kufanya maamuzi magumu kufuatana na kusalitiwa mara kwa mara. Soma Zaidi...

image Safari ya sita ya Sinbad
Posti hii inakwenda kukuletea muendelezo wa safari za Sinbad Soma Zaidi...

image Hadithi iliyosimuliwa na tabibu
Posti hii inakwenda kukupa muendelezo kuhusu kifo cha mtoa burudani wa sultani Soma Zaidi...

image Binti wa ndotoni
Posti hii inakwenda kukupa muendelezo wa safari saba za Sinbad Soma Zaidi...

image The fastest (anakwenda mbio zaidi)
Posti hii inakwenda kukuletea sifa za mnyama anayekwenda mbio zaidi Soma Zaidi...

image Historia ya zamani
Posti hii inakwenda kukupa muendelezo wa hadithi ya aladini na taa ya ajabu Soma Zaidi...

image Hadithi iliyosimuliwq na mlevi mbele ya sultani
Posti hii inakwenda kukusimulia hadithi iliyosimuliwa na mlevi mbele ya sultan Soma Zaidi...

image Kuelekea bonde la uokozi
Posti hii inakwenda kukupa muendelezo wa safari saba za Sinbad Soma Zaidi...

image Ndoto ya mgonjwa, binti mfalme
Posti hii inakwenda kukuletea hadithi za alifu lela ulela Soma Zaidi...

image Hadithi ya Mama mchoyo na mwehu
Posti hii inahusu zaidi habari za Mama mmoja aliyekuwa mchoyo akampa mkate mwehu na kuutia Sumu ila kwa sababu mwehu alikuwa mkarimu sana aliutunza mkate na kuwapatia watoto wa yule mama waliokuwa wakitoka shule na njaa kali Soma Zaidi...