image

Mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili

Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili, kuhusu hadithi hii ni pale Jackie anaandikiwa barua na Julius ili apotezwe akili na wavulana wengine kwa sababu Jackie aliwapita darasani.

Mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili.

1. Kama tulivyoona kwenye hadithi iliyotangulia ni kwamba wavulana waliandika barua kwa jack ili waweze kumfanya jack apumbazike na kufeli mtihani kwa hiyo barua hiyo iliandikwa kama ifuatavyo.

 

2. Natumaini kuwa ujambo na unaendelea vizuri na masomo na pia naona siku hizi unafaulu sana , mpenzi jack kwa kweli umeejaliwa kila kitu uzuri wa sura, umbo zuri,mguu kama bia , unapendwa na wanafunzi wote na kitu kizuri zaidi ni kufaulu darasani kwa hayo yote naona hakuna msichana mwenye sifa kama hizo katika shule nzima kweli umebalikiwa.

 

2. Jackie kwa kweli mimi huwa nakupenda sana na ukumbuke tumetoka mbali mno mimi na wewe kumbuka tulikotoka jinsi ulivyohama nikakufuata na sasa mimi naona kama unanisaliti kwa kumpenda Dickson na inaniuma sana kutoka moyoni kwa hiyo ni vizuri kabisa tuje pamoja tuyajenge na turudie kawaida, Jackie mpaka umenifanya nikawa na feli ni kwa sababu ya kufikilia wewe, pamoja na hayo nakuomba tuwe tunasoma wote kila siku na kwenye dawati tuwe tunakaa wote.

 

3. Kama unataka kuamini siku ya jumamosi twende hotelini tuongee vizuri ili uone uchungu nilionao kwa sababu naumia sana mno yaani mpaka naona aibu kulia mbele ya wenzangu kwa sababu ya kuwepo kwa uchungu moyoni mwangu, jackie umenifanya nalia nakonda mimi, Bora nife kuliko kuishi bila wewe, yaani baada ya kupokea barua hii nijibu Ili nione cha kufanya.ila natumain ombi litafanikiwa.

 

4. Jackie baada ya kupokea barua hii alifurahi mno kwa sababu alimpenda sana Julius na kumpenda Dickson alitafuta sehemu ya kujishikisha yaani tangia hapo akili zikamruka na akamtafuta Rafiki yake Ili kumwonuesha barua Ile, ila rafiki yake hakufurahi kwa sababu alijua kabisa kuhusu usaliti wa wavulana alijaribu kumshauri sana Jackie lakini Jackie hakuelewa alitafuta mda Ili kuweza kujibu barua ya Julius.

 

5. Kesho yake Julius alikuuja kukaa na Jackie kwenye dawati Moja na Jackie alifurahi sana kuona Julius anakuja kukaa naye na hapo ndipo mwanzo wa kupoteza masomo darasani. Kwa hiyo Julius akaomba majibu ya barua yake , Jackie aliandika kama ifuatavyo.

Itaendelea baadae





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 704


Sponsored links
πŸ‘‰1 Madrasa kiganjani     πŸ‘‰2 kitabu cha Simulizi     πŸ‘‰3 Kitau cha Fiqh     πŸ‘‰4 Kitabu cha Afya    

Post zifazofanana:-

JIFUNZE DINI YA KIISLAMU, quran, hadithi, tawhid, tajwid, sira na fiqh
Jifunze mengi kuhusu dini hapa Soma Zaidi...

Hadithi katika kijiji cha burugo
Β Posti hii inahusu zaidi jinsi ya watu walivyoishi katika kijiji cha burugo .tunajuwa hadithi ni sehemu mojawapo ya kubirudisha na kujifunza kitu flani kutoka kwenye jamii . Soma Zaidi...

SAFARI YA MUUJIZA ( SEHEMU YA PILI)
Post hii ni mwendelezo wa hadithi ya safari yenye muujiza ,ni pale mtoto ya Mungu mengi anafika kwenye kituo Cha ntonga na kuona yake mazingira na kufahamu njia ya kwenda kule. Soma Zaidi...

WAKATI WA KUFUMBUKA SEHEMU YA 2
Post hii ni mwendelezo wa hadithi ambayo Kwa jina inaitwa wakati wa Kufumbuka, ni mwendelezo wa pale maria anawekwa mbele ya wazee Ili akili kwamba John sio mtoto wa Mzee maganga ila maria akikumbuka wazi kwamba John ni mtoto wa Mzee maganga anakataa kuki Soma Zaidi...

Kila kitu ambacho wanaume wanatakiwa kufahamu kuhusu wanawake.
Hii ni siri kubwa kuhusu wanawake. Hapa utajifunza jinsi ya kumfanya mwanamke asikuache. Soma Zaidi...

NIMLAUMU NANI (sehemu ya sita)
Post inahusu zaidi hadithi ya NIMLAUMU NANI ambayo ni sehemu ya sita, katika kipengele hiki tunaenda kumwona msichana Amina anapambana na hatimaye anafunga ndoa ya kiserikali na Frank Soma Zaidi...

Mwendelezo wa hadithi ya Mama mchoyo na mwehu
Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya Mama mchoyo na mwehu, kwa sababu mwehu alikuwa mkarimu alichukua ule mkate akawapstia watoto wa yule mama wakiwa wanatoka shule kwa hiyo tutaona kilichotokea kwa wale watoto. Soma Zaidi...

NIMLAUM NANI? (Sehemu ya pili)
Post hii ni mwendelezo wa hadithi iliyopita ambapo Frank aliwakuta Amina ambaye ni mpenzi wake ameumbatiana na James ambaye ni rafiki yake ,kwa hiyo tuendelee kusikia yaliyotokea baada ya Amina na James kukutwa na Franki. Soma Zaidi...

Hasara za wivu na kutokuwa wazi ( sehemu ya 2)
Posti hii inahusu zaidi hasara za wivu na kutokuwa wazi sehemu ya pili, sehemu hii inahusu mama Lisa anaenda kwa mama lina ili kuuliza kinachoendelea kwa mtoto wake , kwa hiyo tuona atapata jibu gani. Soma Zaidi...

Mwendelezo wa hadithi ya mahusiano ya vijana wawili
Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya mahusiano ya vijana wawili baada ya kuhamia shule mpya. Soma Zaidi...

Mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili
Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili, kuhusu hadithi hii ni pale Jackie anaandikiwa barua na Julius ili apotezwe akili na wavulana wengine kwa sababu Jackie aliwapita darasani. Soma Zaidi...

Hasara za wivu na kutokuwa wazi (sehemu ya 3)
Posti hii inahusu zaidi hasara za kuwa na wivu na kutokuwa wazi, sehemu hii inahusu zaidi maendeleo ya Lisa shuleni yanakuwa mabaya zaidi na lina anaendelea kumtunzia siri lengo lake lina ni kuendelea kuwa wa kwanza darasani. Soma Zaidi...