picha

Mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili

Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili, hapa tunaona Jackie anajibu barua ya Julius kwa kusema yafuatayo.

Barua kwa julius.

1. Kwa furaha kubwa Jackie aliandika barua ya kwa Julius akisema. hi Julius kipenda roho changu natumain kuwa haujambo na nimefurahi kuona barua Yako nasikia hata moyo unadunda kwa mapigo Fulani hivi mpaka nakosa pozi na nafurahi sana kuhamia kwangu pale kwenye desk hata nikiwa nimelala naiona kabisa sura Yako ukiwa umekaa karibu nami kwenye dawati.

 

2. Pia naomba msamaha kwa kujenga mahusiano n Dickson sio kwa amani hapana ila ni kwa sababu yakutafuta faraja baada ya wewe kunicha kwa hiyo nafurahi sana na kila kitu ambacho utataka nitakupa kwa sababu si unajua kwangu mimi Jack kila kitu kipo na kuhusu hotelini gharama ni za kwangu usihofu kipenzi,kwa hiyo badala ya kwenda jumamosi twende ijumaa  Bada ya masomo.

 

3. Kwa hiyo jackie akatuma barua kwa julius, na hapo ndipo  alipoanza kujiingza kwenye mahusiano tena na Juliusi na walipanga kwenda hotelini kuanzia ijumaa mpaka jumapili huko Julius alimwonyesha mapenzi ya kweli mpaka Jackie akawa anawaza julius peke yake mpaka na darasani akaacha kusoma alipenda kukaa karibu na Julius,

 

4. Kwa hiyo mitihani ilikuwa inakaribia na Mama yake Jackie akaja kumtembelea Jackie akaleta zawadi na walizitumia zote na Juliusi, na Mama yake na Jackie alitoa ahadi nyingi iwapo Jackie akishinda mtihani vizuri kama mtihani uliopo,kwa hiyo Julius akawa anasoma usiku mchana kazi yake ni kuhakikisha anapoteza akili za Jackie na vijana wanaendelea kumlipa Julius Hela yake kwa kumpoteza Jacki ,na hapo walibakiza wiki Moja kufanya mtihani wa kushindania zawadi za shule ila Jackie hakujiandaa hata kidogo akitumia mda mwingi kushinda na Juliusi.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Jamvini Main: Post File: Download PDF Views 2563

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Bongolite - Game zone - Play free game     👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    

Post zinazofanana:

Hadithi ya Binti mfalme

Posti hii inahusu zaidi hadithi ya Binti mfalme ni hadithi ya kusisimua, kuhusu hadithi hii ni kwamba mfalme alihitaji mtoto wa kiume ila wanawake wote hawakumpata ila alitokea mke mdogo mmoja wa mfalme akajifungua watoto wawili mapacha mmoja wa kiume na

Soma Zaidi...
Usichofahamu kuhusu mazoezi

Posti hii inahusu zaidi mambo muhimu ambayo hufahamu kuhusu mazoezi,ni mambo ambayo utokea au no matokeo mazuri kwa watu wanaofanya sana mazoezi.

Soma Zaidi...
Mtoto wa tajiri na mtoto wa maskini ( sehemu ya tatu)

Post hii inahusu zaidi mtoto wa tajiri na mtoto wa maskini wakipanda gari kuelekea shule kuanza maisha mapya.

Soma Zaidi...
NIMLAUM NANI? (Sehemu ya pili)

Post hii ni mwendelezo wa hadithi iliyopita ambapo Frank aliwakuta Amina ambaye ni mpenzi wake ameumbatiana na James ambaye ni rafiki yake ,kwa hiyo tuendelee kusikia yaliyotokea baada ya Amina na James kukutwa na Franki.

Soma Zaidi...
Mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili

Posti hii inahusu zaidi hadithi ya vijana wawili ambapo mtihani unafika ila Jackie hakujiandaa alishutuliwa na marafiki zake baada ya kuona mwenendo wake haueleweki.

Soma Zaidi...
NIMLAUMU NANI (sehemu ya sita)

Post inahusu zaidi hadithi ya NIMLAUMU NANI ambayo ni sehemu ya sita, katika kipengele hiki tunaenda kumwona msichana Amina anapambana na hatimaye anafunga ndoa ya kiserikali na Frank

Soma Zaidi...