image

Mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili

Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili, hapa tunaona Jackie anajibu barua ya Julius kwa kusema yafuatayo.

Barua kwa julius.

1. Kwa furaha kubwa Jackie aliandika barua ya kwa Julius akisema. hi Julius kipenda roho changu natumain kuwa haujambo na nimefurahi kuona barua Yako nasikia hata moyo unadunda kwa mapigo Fulani hivi mpaka nakosa pozi na nafurahi sana kuhamia kwangu pale kwenye desk hata nikiwa nimelala naiona kabisa sura Yako ukiwa umekaa karibu nami kwenye dawati.

 

2. Pia naomba msamaha kwa kujenga mahusiano n Dickson sio kwa amani hapana ila ni kwa sababu yakutafuta faraja baada ya wewe kunicha kwa hiyo nafurahi sana na kila kitu ambacho utataka nitakupa kwa sababu si unajua kwangu mimi Jack kila kitu kipo na kuhusu hotelini gharama ni za kwangu usihofu kipenzi,kwa hiyo badala ya kwenda jumamosi twende ijumaa  Bada ya masomo.

 

3. Kwa hiyo jackie akatuma barua kwa julius, na hapo ndipo  alipoanza kujiingza kwenye mahusiano tena na Juliusi na walipanga kwenda hotelini kuanzia ijumaa mpaka jumapili huko Julius alimwonyesha mapenzi ya kweli mpaka Jackie akawa anawaza julius peke yake mpaka na darasani akaacha kusoma alipenda kukaa karibu na Julius,

 

4. Kwa hiyo mitihani ilikuwa inakaribia na Mama yake Jackie akaja kumtembelea Jackie akaleta zawadi na walizitumia zote na Juliusi, na Mama yake na Jackie alitoa ahadi nyingi iwapo Jackie akishinda mtihani vizuri kama mtihani uliopo,kwa hiyo Julius akawa anasoma usiku mchana kazi yake ni kuhakikisha anapoteza akili za Jackie na vijana wanaendelea kumlipa Julius Hela yake kwa kumpoteza Jacki ,na hapo walibakiza wiki Moja kufanya mtihani wa kushindania zawadi za shule ila Jackie hakujiandaa hata kidogo akitumia mda mwingi kushinda na Juliusi.





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1025


Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Kitabu cha Afya    

Post zifazofanana:-

Mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme
Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme, baada ya kijana wa kiume wa binti mfalme kuoa yule ndugu yake baba anafanya sherehe kubwa na wake wenza wamepata habari kwamba kijana wa kiume wa mfalme ameoa ndugu yake wakaamuru kunyamaza il Soma Zaidi...

Mtoto wa tajiri na maskini (sehemu ya pili)
Post hii inahusu zaidi watoto wa wawili ambapo mmoja ni mtoto wa tajiri na mwingine ni mtoto wa maskini. Soma Zaidi...

Mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme (sehemu ya nne)
Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme sehemu ya nne ni pale bibi anawachanganya kwa maneno yake yaani mke wa kwanza anaambiwa aandae malkia na mke mdogo atafute njia za kufanya kijana wake kuwa mfalme. Soma Zaidi...

Mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme sehemu ya sita
Post hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme sehemu ya sehemu ya sita.sehemu hii inaonyesha jinsi bibi alivyo ndumila kuwili na hapendi kuonekana mbaya. Soma Zaidi...

Mwendelezo wa hadithi ya Mama mchoyo na mwehu
Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya Mama mchoyo na mwehu, kwa sababu mwehu alikuwa mkarimu alichukua ule mkate akawapstia watoto wa yule mama wakiwa wanatoka shule kwa hiyo tutaona kilichotokea kwa wale watoto. Soma Zaidi...

Mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili
Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili,ambapo Mama yake na Jackie pamoja na jack wakiwa hospital na jack anaendelea kumwita Julius kila mara. Soma Zaidi...

Mtoto wa tajiri na mtoto wa maskini ( sehemu ya tatu)
Post hii inahusu zaidi mtoto wa tajiri na mtoto wa maskini wakipanda gari kuelekea shule kuanza maisha mapya. Soma Zaidi...

USALITI (sehemu ya kwanza)
Post hii inahusu zaidi vijana wawili ambao ni msichana na mvulana walioingia kwenye mahusiano wakiwa sekondari na wakahaidiana kuoana ila kwa sababu mbalimbali walizokutana nazo kwenye safari yao ya mahusiano mmoja akamsaliti mwingine na kusababisha kupo Soma Zaidi...

JIFUNZE DINI YA KIISLAMU, quran, hadithi, tawhid, tajwid, sira na fiqh
Jifunze mengi kuhusu dini hapa Soma Zaidi...

Hasara za wivu na kutokuwa wazi (sehemu ya 3)
Posti hii inahusu zaidi hasara za kuwa na wivu na kutokuwa wazi, sehemu hii inahusu zaidi maendeleo ya Lisa shuleni yanakuwa mabaya zaidi na lina anaendelea kumtunzia siri lengo lake lina ni kuendelea kuwa wa kwanza darasani. Soma Zaidi...

SAFARI YA MUUJIZA
Post hii inahusu hadithi moja iliyotokea Kwa mama mmoja mwenye familia ya watoto watano.ambapo mama aliolewa na mwanaume mwenye maambukizi ya virus vya ukimwi na kupata watoto bila maambukizi kusambaa kutoka Kwa baba kwenda Kwa mama. Soma Zaidi...

USALITI (sehemu ya tatu)
Post hii ni mwendelzo wa hadithi ya ukweli ambayo imetokea siku sio nyingi jinsi Moses alipoacha kumwoa Rhoda naye akachanganyikiwa takribani miaka kama mitano hivi. Soma Zaidi...