image

Mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili

Posti hii inahusu zaidi hadithi ya vijana wawili ambapo mtihani unafika ila Jackie hakujiandaa alishutuliwa na marafiki zake baada ya kuona mwenendo wake haueleweki.

Mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili.

1. Kwa hiyo mtihani ulipofika Jackie hakuwa na maandalizi yoyote ila baadhi ya wasichana waliokuwa wanaosoma na Jackie walimwita na kuongea naye ila ilikuwa too late, kwa hiyo Jackie siku ya jumapili aliitwa na julius wakatoka na mtihani ulikuwa ni jumatatu na siku ya jumamosi Julius akishinda anasoma ila mwenzake alishinda anasoma barua alizoandikiwa na Juliusi.

 

 

 

 

2. Kama mda wa saa mbili walirudi chuo ila Jackie alikuwa ameleweshwa Yuko chakali akafika amechoka kabisa akalala aliamshwa na kwenda kwenye mtihani hajaoga Wala uniform hazijafuliwa akaamka hivyo hivyo akavaa nguo chafu na kuingia kwenye mtihani na kila mwalimu alimshangaa kwa sababu ni msichana aliyekuwa smart na anajipenda kwa hiyo alipoanza mtihani hakuelewa chochote na pia kwa sababu ya pombe alisinzia kwenye mtihani mpaka mwalimu wa kike alipofikia kumwamsha alishutuka na kuhisi harufu ya pombe.

 

3. Basi ilipofika saa nane wakarudi kwenye mtihani WA pili ila Jackie alikuwa yupo yupo ana uchovu na pia kwa sababu alikuwa hasomi alikuwa haelewi chochote kwa hiyo baada ya mtihani WA pili mwalimu alimwita na kuongea naye ila jack alikuwa amechoka kweli akiwa na usingizi ila mwalimu akamlazimisha na kutaka kujua kilichotokea ila Jackie hakusema chochote mpaka Mama yake akaitwa Ili kuja kuongea na mwanae,basi mama yake alipokuja aliumia sana kumkuta mtoto wake kwenye hali Ile.

 

4. Mpaka Mama yake alizimia kwa sababu Jackie alikuwa anaonekana kachakaa sana , baadae wakampeleka mama Jackie hospital ila wasichana waliokuwa kilichokuwa kinaendelea walimshauri Jackie hajifanye kama kichaa Ili haweze kupoteza ushaidi wa kwamba alikuwa amejichanganya shuleni, Basi baadae Jackie akaenda kumsimulia Julius kilichokuwa kinaendelea julius akamwangalia Jackie kama vile hajawahi kumwona yaai Jackie akawa kama anataka kufa na akaumia zaidi akawa kama mgonjwa na mtu ambaye hajielewi na yeye akapelekwa hospital mahali alipokuwa amelazwa mama yake , kwa hiyo jack alikuwa kitanda hiki Mama hiki, Jackie alimwangalia mama yake kwa aibu ila mama alimwangalia mwanae kwa huruma.

 

itaendelea baadae





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 712


Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 Kitau cha Fiqh    

Post zifazofanana:-

Mtoto wa tajiri na maskini (sehemu ya pili)
Post hii inahusu zaidi watoto wa wawili ambapo mmoja ni mtoto wa tajiri na mwingine ni mtoto wa maskini. Soma Zaidi...

NIMLAUM NANI? (Sehemu ya pili)
Post hii ni mwendelezo wa hadithi iliyopita ambapo Frank aliwakuta Amina ambaye ni mpenzi wake ameumbatiana na James ambaye ni rafiki yake ,kwa hiyo tuendelee kusikia yaliyotokea baada ya Amina na James kukutwa na Franki. Soma Zaidi...

Mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme
Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme, tunajua kuwa mama yake na binti alimtorisha yule binti mbali kabisa ila kijana naye aliamua kutoroka na kumfuata binti mfalme na hatimaye akampata alipo. Soma Zaidi...

WAKATI WA KUFUMBUKA SEHEMU YA 1
Post hii inahusu zaidi hadithi mpya na nzuri inayoitwa wakati wa Kufumbuka, ni hadithi inayohusu maisha ya kawaida ambapo watu ushindwa kudhamini watu wa karibu nao na kuona watu wa mbali ndio wenye maana ila shida zikifika ndipo wanaona umuhimu wao. Soma Zaidi...

WAKATI WA KUFUMBUKA SEHEMU YA 2
Post hii ni mwendelezo wa hadithi ambayo Kwa jina inaitwa wakati wa Kufumbuka, ni mwendelezo wa pale maria anawekwa mbele ya wazee Ili akili kwamba John sio mtoto wa Mzee maganga ila maria akikumbuka wazi kwamba John ni mtoto wa Mzee maganga anakataa kuki Soma Zaidi...

USALITI (sehemu ya kwanza)
Post hii inahusu zaidi vijana wawili ambao ni msichana na mvulana walioingia kwenye mahusiano wakiwa sekondari na wakahaidiana kuoana ila kwa sababu mbalimbali walizokutana nazo kwenye safari yao ya mahusiano mmoja akamsaliti mwingine na kusababisha kupo Soma Zaidi...

Hadithi ya Mama mchoyo na mwehu
Posti hii inahusu zaidi habari za Mama mmoja aliyekuwa mchoyo akampa mkate mwehu na kuutia Sumu ila kwa sababu mwehu alikuwa mkarimu sana aliutunza mkate na kuwapatia watoto wa yule mama waliokuwa wakitoka shule na njaa kali Soma Zaidi...

Chemsha bongo na bongoclass
Jipime uwezo wako wa kufikiri pamoja nasi. Soma Zaidi...

NIMLAUMU NANI ( sehemu ya tano)
Post hii inahusu mwendelezo wa hadithi ya Nimlaumu nani ambapo juma anapanga na madaktari wanaopima DNA ili kuweza kutambua kwamba mtu mimba ni ya kwake na sio ya Frank kwa hiyo tuendelee kusikiliza mpaka tutakapoona mimba itakuwa ya Frank au juma. Soma Zaidi...

USALITI (sehemu ya tatu)
Post hii ni mwendelzo wa hadithi ya ukweli ambayo imetokea siku sio nyingi jinsi Moses alipoacha kumwoa Rhoda naye akachanganyikiwa takribani miaka kama mitano hivi. Soma Zaidi...

Mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili
Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili,ambapo Mama yake na Jackie pamoja na jack wakiwa hospital na jack anaendelea kumwita Julius kila mara. Soma Zaidi...

Usichofahamu kuhusu mazoezi
Posti hii inahusu zaidi mambo muhimu ambayo hufahamu kuhusu mazoezi,ni mambo ambayo utokea au no matokeo mazuri kwa watu wanaofanya sana mazoezi. Soma Zaidi...