image

Mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili

Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili,ambapo Mama yake na Jackie pamoja na jack wakiwa hospital na jack anaendelea kumwita Julius kila mara.

Mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili.

1. Kwa hiyo baba Jackie aliposikia kwamba mama Jackie na Jackie wapo wodin wamekazwa alishutuka sana akakimbilia hospital, kwa kawaida Kazi yake baba Jackie alikuwa mwanajeshi na

 alimpenda sana Binti yake, kwa hiyo baada ya kufika hospital na kuwaona au kuiona familia yake imelazwa na ugonjwa haueleweki alishangaa na akapanic sana na cha ajabu kusikia Binti yake akiita Juliusi , ndipo akamwuliza Binti yake Julius ni nani akasema ni mchumba wangu.

 

2. Ndipo baba yake akachukua bastola akakimbia nayo mpaka shuleni alikuta wanafunzi wanajiandaa na mtihani WA pili akaingia ofisi na bastola akiulizia julius naye Julius aliposikia habari akaanza kulia mapema kwa hiyo ilikuwa njia rahisi kumkamata kwa hiyo yule baba alipoulizia Julius akiwa amenyosha bastola kila mwanafunzi alikimbia na kumwacha julius mwenyewe, julius alipokamatwa alipigwa makofi mateke na kila aina ya kipigo ila walimu walipoona hayo waliita polisi na polisi ikamkamata baba Jackie wakampeleka police 

 

3. Kwa hiyo familia yote ilikuwa kwenye matatizo mama na mtoto wako hospital, baba Yuko polisi, kwa hiyo baada ya mtihani wenzake na Jackie walikenda kumwona na kumwambia kwamba baba yake yupo polisi, kwa sababu akili za Jackie zilikuwa sawa alikimbia nyumbani ni kutoa taarifa kwa ndugu ndipo ndugu wakafika shuleni na kuhakikisha kwamba na Juliusi na yeye yupo chini ya ulinzi.kwa hiyo Julius baada ya kuwekwa chini ya ulinzi baba yake alipewa taarifa na akaja kuangalia kinachoendelea , baba julius baada ya kumwona mwanae aliumia sana na kuanza kumwuliza kwa nini alifanyiwa hivyo hakutoa jibu la kutosha 

 

4. Kwa sababu mitihani ilikuwa inaendelea wanafunzi waliokuwa wamekamatwa kwenye makosa ambao ni julius na Jackie waliamuliwa kuendelea na mitihani wakati wakisubiri wahojiwe , julius na kundi lake baada ya kusikia hayo matumbo yaliwaka moto na pia hawakufanya mtihani. Kwa hiyo wazazi wakisubiri ilinkuweza kusikiliza kesi





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 771


Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 kitabu cha Simulizi    

Post zifazofanana:-

Mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili
Posti hii inahusu zaidi hadithi ya vijana wawili ambao walipoteana katika hali za kukimbizwa na wazazi Ili waweze kutimiza ndoto zao na siku wakakutana wakiwa watu wazima. Soma Zaidi...

Mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili
Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili, kuhusu hadithi hii ni pale Jackie anaandikiwa barua na Julius ili apotezwe akili na wavulana wengine kwa sababu Jackie aliwapita darasani. Soma Zaidi...

Hadithi ya Mama mchoyo na mwehu
Posti hii inahusu zaidi habari za Mama mmoja aliyekuwa mchoyo akampa mkate mwehu na kuutia Sumu ila kwa sababu mwehu alikuwa mkarimu sana aliutunza mkate na kuwapatia watoto wa yule mama waliokuwa wakitoka shule na njaa kali Soma Zaidi...

Chemsha bongo na bongoclass
Jipime uwezo wako wa kufikiri pamoja nasi. Soma Zaidi...

WAKATI WA KUFUMBUKA SEHEMU YA 1
Post hii inahusu zaidi hadithi mpya na nzuri inayoitwa wakati wa Kufumbuka, ni hadithi inayohusu maisha ya kawaida ambapo watu ushindwa kudhamini watu wa karibu nao na kuona watu wa mbali ndio wenye maana ila shida zikifika ndipo wanaona umuhimu wao. Soma Zaidi...

NIMLAUMU NANI (sehemu ya sita)
Post inahusu zaidi hadithi ya NIMLAUMU NANI ambayo ni sehemu ya sita, katika kipengele hiki tunaenda kumwona msichana Amina anapambana na hatimaye anafunga ndoa ya kiserikali na Frank Soma Zaidi...

Hasara za wivu na kutokuwa wazi ( sehemu ya 2)
Posti hii inahusu zaidi hasara za wivu na kutokuwa wazi sehemu ya pili, sehemu hii inahusu mama Lisa anaenda kwa mama lina ili kuuliza kinachoendelea kwa mtoto wake , kwa hiyo tuona atapata jibu gani. Soma Zaidi...

USALITI (sehemu ya tatu)
Post hii ni mwendelzo wa hadithi ya ukweli ambayo imetokea siku sio nyingi jinsi Moses alipoacha kumwoa Rhoda naye akachanganyikiwa takribani miaka kama mitano hivi. Soma Zaidi...

Hadithi za alif lela u lela
Haya ni masimulizi ya Hadithi za alif lela u lela Soma Zaidi...

Mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili
Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili,ambapo Mama yake na Jackie pamoja na jack wakiwa hospital na jack anaendelea kumwita Julius kila mara. Soma Zaidi...

SAFARI YA MUUJIZA ( SEHEMU YA PILI)
Post hii ni mwendelezo wa hadithi ya safari yenye muujiza ,ni pale mtoto ya Mungu mengi anafika kwenye kituo Cha ntonga na kuona yake mazingira na kufahamu njia ya kwenda kule. Soma Zaidi...

USALITI (sehemu ya pili)
Post hii ni mwendelzo wa hadithi ya Usaliti kati ya Rhoda na Moses ambapo Moses anampenda sana Rhoda na wakati wa kuoa umefika ila akagikilia kwamba akimuoa Rhoda inawezekana wasipate watoto kwa sababu ya mimba ambazo Rhoda alikuwa anatoa mara kwa mara. Soma Zaidi...