Mwenendo wa mwenye kunuia hijjah na umrah

Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

-    Ajiepushe na kauli na vitendo viovu na vichafu.

-    Azidishe kusoma Qur’an na kusimamisha swala za faradh kwa jamaa na kusimamisha swala za sunnah kwa wingi.

-    Kuomba msamaha na kutubu kikweli kweli kwa Allah (s.w).

-    Kujitahidi kujipamba na kila tabia njema na kuamiliana kwa wema na wanahajj wengine.

-    Ajitahidi kujumuika na wanahajj kutoka sehemu mbali mbali Ulimwenguni.

-    Ajiepushe na matamanio wanapokuwa katika mchanganyiko wa wanaume na wanawake katika Hijja

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Fiqh Main: Dini File: Download PDF Views 1380

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 web hosting    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉6 Dua za Mitume na Manabii   

Post zinazofanana: