image

Namna nzuri ya kuandaa mchai chai kwa matumizi mbalimbali

Posti hii inahusu zaidi namna nzuri ya kuandaa mchai chai kwa ajili ya matumizi mbalimbali, Ili kutumia mmea wa mchai chai zifuatazo ni mbinu za kuandaa mmea huu.

Namna ya kuandaa mchai chai.

1. Kwanza kabisa unapaswa kuchuma mmea wako kwenye bustani Kama ulikuwa umepanda mwenyewe au ukinunua sokoni unashika majani Yako unayakata yanakuwa mafupi au wengine upenda kuyaacha hivyo hivyo yalivyo, unaandaa maji yako yaliyosafi unaosha vizuri sana kwa sababu kama yametoka sokoni hujui yameshikwa na wangapi au mmea ulikuwa kwenye mazingira yapi, unaosha vizuri na baadae unasuuza na maji safi .

 

2. Unaandaa maji safi kwenye sufuria na acha yachemke na yasichemke kwa mda mrefu na baadae ipua na acha upoe,au wakati mwingine una ponda ponda majani yaliyosafishwa vizuri unachemsha maji unatumbukiza kwenye maji yaliyochemka bila kuchemshwa na unafunika na mfuniko kwa mda na baadae  ukipoa unafunua mfuniko.

 

3. Mchanganyiko wako ukipoa unatumia Kikombe kimoja kutwa mara tatu kwa siku thelathini na unatumia Kikombe cha Kawaida kisiwe kukkubwa sana au cha kati Ili mradi kiwe Kikombe cha kati na ukimaliza dozi Yako unaweza kutulia kwa mwezi mmoja na baadae ukaendelea nawaambia magonjwa ya saratani, uvimbe, nevu, homa utasikia kwenye taarifa ya habari, hayatatokea yakupate.

 

4. Kuna wengine wanatumia mchai chai kwa njia tofauti ambapo wanachukua majani ya mchai chai wanatumia kwenye chai kila siku badala ya kutumia majani na njia hiyo ni nzuri sana , hasa hasa usipoweks sukari au ukaweka kidogo ni vizuri kwa sababu na matumizi hayo ni sehemu ya tiba.

 

5. Kwa hiyo ni vizuri kabisa kuanza kutumia huduma hii ya mchai chai kwa sababu Haina gharama na jitahidi kupanda mwenyewe hata kama hauna sehemu chukua kopo upandepo yaani liwe kama ua kwenye Bustani Yako, natumain utapata afya njema kwa kutumia mmea huu aina ya mchai chai.





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1382


Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Kitau cha Fiqh    

Post zifazofanana:-

Vyakula vya protini
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za vyakula vya protini Soma Zaidi...

RANGI ZA MATUNDA
Jifunze sifa na aina za matunda, vijuwe viruturubisho Soma Zaidi...

Yafahamu magonjwa nyemelezi kwa watoto chini ya miaka mitano
Posti hii inahusu zaidi magonjwa nyemelezi kwa watoto wadogo chini ya miaka mitano,. Ni magonjwa yanayowapata watoto wadogo kwa sababu kinga Yao bado ni ndogo. Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula magimbi/ taro roots
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula magimbi Soma Zaidi...

Faida za kula Ukwaju
Zitambue faida kubwa za kula karanga kwa ajili ya afya yako Soma Zaidi...

Vyakula vya kuongeza nguvu za kiume.
Tatizo la nguvu za kiume linawwza kuzuiliwa ama kupunguzwa kwa kutumia muunganimo wa njiankadhaa kama kubaduki vyakula, kutumia dawa, kupata ushauri kwa wataalamu wa afya ya mahusiano ama kufanya nazoezi. Je na wewe unasumbuliwa na tatizo hili? Makala hii Soma Zaidi...

Chakula cha minyoo
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula vya minyoo Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula nyama
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula nyama Soma Zaidi...

Vyakula vya vitamini E na faida zake
Soma Zaidi...

Mafidodo (mafindofindo) au tonsils kweye koo je inaweza ikawa Ni moja kati ya dalil za ukimwi
Tezi za lymph huanza kuonyesha dalili za kuwa mwili upo katika mapambano dhidi ya vijidudu vya maradhi. Ishara ni pale utakapoona tezi za lymph zina maumivu. Tezi hizi hupatikana kwenye mapaja, kwapa nashingo. Soma Zaidi...

FAIDA ZA KIAFYA ZA KULA BAMIA (OKRA)
Makala hii inakwenda kukuonyesha faida za kula bamia kwa afya afya Soma Zaidi...

Vyakula Vya vitamini B, kazi za Vitamini B na dalili za Upungufu wa Vitamini B mwilini
hapa Tutakwenda kuona Vyakula Vya vitamini B, kazi za Vitamini B na dalili za Upungufu wa Vitamini B mwilini Soma Zaidi...