NAMNA UGONJWA WA HERPES SIMPLEX UNAVYOSAMBAA.


image


Posti hii inahusu zaidi namna ya ugonjwa wa vipele kwenye midomo na sehemu za siri unavyoweza kuenea kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine.


Namna ugonjwa wa herpes simplex au vipele kwenye midomo na sehemu za siri unavyoweza kuenea kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine.

1.Ugonjwa huu wa herpes simplex unaweza kusambaa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine kwa njia ya kujamiiana pasipokutumia kondomu kwa hiyo wakati wa kujamiiana ni lazima kutumia kinga ili kuzuia kuenea kwa ugonjwa huu ambao hauna tiba.

 

2.vile vile ugonjwa huu unaweza kusambaa kwa kupigana busu kwa wapenzi na wale wenye utamaduni wa kufanya hivyo, kwa hiyo tunapaswa kuwa makini katika kupigana busu kwa kuangalia kwanza kama kuna dalili na wagonjwa wanapaswa kuwa wazi kama wana ugonjwa huu.

 

3.Pia Ugonjwa huu unasambaa kwa kutumia vifaa ambavyo vimetumiwa na mtu mwenye Ugonjwa huu ikiwa virus wamebaki kwa hiyo tunapaswa kuosha vizuri vyombo vyetu kama tunafikiria au tunajua kuna mtu ana matatizo hayo na ametumia vyombo hivyo, kwa hiyo hatupaswi kuwatenga wagonjwa wenye matatizo ya aina hii ila tuwahudumie na kuwa makini.

 

4.Ugonjwa huu unasambaa kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto wakati wa kujifungua kwa hiyo mama anapaswa kujifungulia hospitalini ili kuepuka Maambukizi kutoka kwa Mama kwenda kwa mtoto na pia akina Mama wakati wa ujauzito wanapaswa kupima afya zao ili kuepukana kuwaambukiza watoto wao.

 

5.Baada ya kujua njia zinazotumika kuambukiza ugonjwa huu ni lazima kubwa makini na kujikinga ili kuepuka kusambaza ugonjwa huu kwa sababu unasababishwa na virusi kwa hiyo kupona kwake na majaliwa ya Mwenyezi Mungu.



Sponsored Posts


  πŸ‘‰    1 Maktaba ya vitabu       πŸ‘‰    2 Magonjwa na afya       πŸ‘‰    3 Hadiythi za alif lela u lela       πŸ‘‰    4 Mafunzo ya html kwa kiswahili       πŸ‘‰    5 Madrasa kiganjani       πŸ‘‰    6 Jifunze fiqh    


Je! una maswali, mapendekezo ama maoni? tuma ujumbe wa meseji SMS hapo chini ili kuunganishwa na muhusika au bofya hapa

SMS SMS



Post Nyingine


image Dalili za hatari kwa mtoto aliyezaliwa
Posti hii inahusu zaidi dalili za hatari kwa mtoto aliyezaliwa, ni dalili ambazo ujitokeza tu mtoto anapozaliwa kwa hiyo dalili hizi zinapaswa kuzuiwa ili zisilete madhara makubwa. Soma Zaidi...

image Ujue ugonjwa wa tauni
Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa tauni ambao kwa kitaalamu huitwa plague ni Ugonjwa unaosababishwa na wadudu ambao huitwa kitaalamu huitwa yersinia pestis ambao ukaa ndani ya panya. Soma Zaidi...

image Dalili za PID
Posti hii inahusu zaidi dalili za PID maana yake ni maambukizi kwenye pelvic kwa kitaalamu huitwa pelvic infection disease, ni ugonjwa unaoshambulia sana wanawake na wasichana Soma Zaidi...

image Njia za kuzuia Ugonjwa wa tauni.
Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kuepuka Ugonjwa wa raundi. Soma Zaidi...

image Walio hatarini kupata gonorrhea (gonoria)
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu watu walio hatarini kupata gonorrhea gonoria Soma Zaidi...

image Njia za kuzuia Malaria kwa wajawazito
Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali za kuzuia Malaria kwa wajawazito na watoto wao wakiwa bado tumboni, tunajuwa wazi kuwa wajawazito wakipata Malaria inaweza kupelekea mimba kutoka kwa hiyo ili kuzuia tatizo hili zifuatazo ni njia zilizowekwa ili kuzuia Malaria kwa wajawazito. Soma Zaidi...

image Huduma ya kanza kwa mgonjwa mwenye jeraha la kawaida kwenye ubongo
Posti hii inahusu zaidi huduma ya kwanza ya mgonjwa mwenye jeraha la kawaida kwenye ubongo, ni Tiba ambayo utolewa kulingana na dalili za jeraha la kawaida kwenye ubongo kama ifuayavyo. Soma Zaidi...

image Mabadiliko ya ngozi wakati wa ujauzito.
Posti hii inahusu zaidi mabadiliko kwenye ngozi wakati wa ujauzito, ni mabadiliko yanayotokea kwenye ngozi ya Mama wakati wa ujauzito. Soma Zaidi...

image Madhara ya kutotibu Maambukizi kwenye mifupa.
Posti hii inahusu zaidi madhara ya kutotibu Maambukizi kwenye mifupa,ni madhara ambayo utokea endapo Maambukizi kwenye mifupa yasipotibiwa kwa mda wake. Soma Zaidi...

image Dalili na ishara za ugonjwa sugu was Figo.
 Dalili na ishara za ugonjwa sugu wa figo hukua baada ya muda ikiwa uharibifu wa figo unaendelea polepole.  Kupoteza utendakazi wa figo kunaweza kusababisha mrundikano wa majimaji au uchafu wa mwili. Kulingana na jinsi ilivyo kali, upotezaji wa kazi ya figo unaweza kusababisha: Soma Zaidi...