image

Namna ya kuandaa mbegu za parachichi kwa matumizi ya dawa.

Posti hii inahusu zaidi namna ya kuandaa mbegu za maparachichi ili kutumika kama dawa,kwa sababu ya kuwepo kwa tiba kutokana na mbegu hii ni vizuri kujua maandalizi.

Namna ya kuandaa mbegu za maparachichi ili kutumika kama dawa.

1. Chukua mbegu ya parachichi, osha vizuri na hakikisha kwamba imetakata.

 

 

2. Twanga kwenye kinu au kuna kwenye kikunio na hakikisha kuwa imekuwa kama unga.

 

 

 

3. Kausha kwenye jua na hakikisha imekauka na wengine ukausha kwenye kivuli.

 

 

 

4. Chukua unga huo na usage tena na hakikisha unakuwa kama  unga.

 

 

 

5.chukua huo unga weka kwenye kopo au sehemu yoyote unayoona ni nzuri kwa kutunzia.

 

 

 

6. Chukua unga huo uwe unaweka kwenye chai na kunywa kila siku na hauozi hata siku moja.

 

 

 

 

 

 

 

 





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 4911


Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 Madrasa kiganjani    

Post zifazofanana:-

Naomba mnielekeze jinsi ya matayarisho ya Mbegu za papai mpaka nianze kuzitumia kama tiba
Mbegu za papai ni katika baadhi ya mbegu ambazo hutumika kama dawa, na tunda lake ni katika matunda yenyevirutubisho vingi sana. Mbegu za papai zinatumka kwa matumizi mengi sana kiafya. Je ungependa kujuwa faida za papai na jinsi ya kuandaa mbegu zake kam Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula mbegu za matango
Katika somo hili utakwenda kujifunza faida za kiafya za kula mbegu za matango Soma Zaidi...

Faida za mbegu za papai
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za mbegu za papai na umuhimu wake kiafya Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula mbegu za mafenesi
Katia post hii utakwend akujifunza namna ambavyo tunaweza kufaidika kwa kula mbegu za mafenesi mwilini. Fenesi ama jackfruit ni moja katika matunda yanayopatikana katika maeneo ya kitropic. Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula mbegu za nyanya
Katika makala hii utakwenda kuzijuwa faida za kiafya za kula mbegu za nyanya. Makala hii itakufundisha kwa nini sio vyema kutupa mbeguza nyanya Soma Zaidi...

Faida za kiafya za mbegu za mronge/moringa
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za mbegu za mronge/moringa Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula mbegu za pipilipi
Katika somohili utakwenda kujifunzafaida za kiafya za kula mbegu za pilipili. Hapa ttunazunumzia pilipili kwaujumla bila kujali ni aina gani ya pilipili. Soma Zaidi...

Namna ya kuandaa mbegu za parachichi kwa matumizi ya dawa.
Posti hii inahusu zaidi namna ya kuandaa mbegu za maparachichi ili kutumika kama dawa,kwa sababu ya kuwepo kwa tiba kutokana na mbegu hii ni vizuri kujua maandalizi. Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula mbegu za matikiti
Katika post hii utajifunza faida za kula mbegu za tikiti. Baada ya post hii utajifunza kuwa mbegu za tikiti hazitupwi. Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula mbegu za maboga mwilini
Katika somo hili utakwenda kujufunza faida za kiafya za kula mbegu za maboga katika mwili wako Soma Zaidi...

Faida za mbegu za maboga
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za mbegu za maboga Soma Zaidi...

Faida za kula mbegu za ukwaju
Katika makala hii utakwend akujifunza kuhusu faida za kiafya za kla mbegu za ukwaju. Soma Zaidi...